Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Tunashukuru kwa taarifa , tutashirikiana panapobidi mpaka kieleweke! Sisi tuna Mungu kamanda!
Nilibahatika kuwaona hao green guard kwenye msiba wa yule diwani wa sijui ungaltd, Msangi(RIP) yaani wamejichokea, wamevaa viatu vimepinda, havina hata kiwi, afya zao zinatia huruma! Hawana jipya kiukweli ni vijana waliochoshwa na maisha wakajipeleka CCM wakatumiwe na wala nchi, mie mwanzoni niliposikia green guard nikajua ni watu haswa kumbe vijitu havina mbele wala nyuma... Hawana jipya!
Kwa hali ilivyo kwa sasa unadhani ni mtu gani mwenye akili timamu atakubali kuitumikia ccm? Wamebakia wajinga wachache wanaoikumbatia ccm ndn maana elimu hawaiwekei kipao mbele kwani wanajua kuamka kwa wananchi ndiko kutaing'oa madarakani