Uzuri huwa nakula wake za makada wenzake hata hivyo tuko makini kuliko unavyo weza kudhania......hahaha
Siyo achome moto hivyo vibanda vyao....naaminii kwenye wako makini na wana tusomaNatamani mtu awavizie hao green guard wakati wamo ndani ya vijumba vya mafunzo afungie mlango kwa nje na atupe fungue kwenye choo cha shimo.
Hata hivyo CHADEMA wawe makini sana kwenye ujazaji wa form kwa mgombea wao, na wadhamini. Team Monduli wanaweza kuwaletea balaa.
Ccm wameweka kambi ya kuwafundisha green guard eneo la Leganga barabara ya kwenda Dik dik kama unaenda dik dik mtaa wa pili kushoto huku Nchemba Mwigulu amekuwa akipita na kugawa hela lakini pia anawapa wananchi contact namba za simu za viongozi wa chadema wa kitaifa ili kuwahadaa wananchi kuwa yeye na Mbowe, Dr Slaa na n.k ni marafiki sana hivyo hakuna haja ya wananchi kuwakataa kuongea nao..
pia ametoa mil 10 atakae fanikiwa kumdhamini mgombea wa CHADEMA huku akiwa amemdhamini wa chama kigine kitu ambacho kitapelekea kukatiwa rufaa na kuondolewa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea jimbo la Arumeru Mashariki....
Hii hoja mkuu siyo mara ya kwanza kuiweka na binafsi naiunga mkono kwa 100% haiwezekani sisi kila siku tuna lialia tu oooh Green guards wakati chama kina kubalika kwa vija kuiko hata hao magamba kwanini tusiendeleze kikundi chetu na sisi halafu tuone nani?....lakini Ben na kuhakikishia kwaa Arusha kama watafanya ujina walio fanya Igunga sipati picha....hatuta kaa kimya acha wafanye mazoezi wanavyo jua lakini watakapo subutu kumwanga damu kama kawaida yao, tutawashangazaKwa kuwa CCM wameshindwa kwa hoja majukwaani na kubaki katika matumizi ya nguvu na vitisho dhidi ya wananchi na wafuasi wetu,na kwa kuwa jeshi la polisi limeshindwa kazi na badala yake linafanya kazi na chama dola kughilibu matakwa ya umma basi kilichobakia ni kwa sisi ku-deploy Red brigade.Tusikubali kuonewa au kuburuzwa
Ni lazima tulinde wafuasi wetu.....nitakuwa mstari wa mbele kuongoza red brigade ili CCM warudi katika msatari wa siasa za kistaarabu.Jeshi la polisi lisije likalalamika,na itakuwa ni mwisho wa CCM kutumia raslimali za serikali kwa manufaa yao.Tutahakikisha Gari ya serikali,mkuu wa wilaya au mtendaji yeyote haingilii mchakato wa uchaguzi.Kuna watakaowekwa ndani hadi siku matokeo yatakapotangazwa bila kujali kama ni mkuu wa mkoa ama ni nani.....
Nadhani CCM wanataka tufikie huko.Safari hii tusikubali watufanyie michezo yao waliyoifanya Igunga!
Ccm wameweka kambi ya kuwafundisha green guard eneo la Leganga barabara ya kwenda Dik dik kama unaenda dik dik mtaa wa pili kushoto huku Nchemba Mwigulu amekuwa akipita na kugawa hela lakini pia anawapa wananchi contact namba za simu za viongozi wa chadema wa kitaifa ili kuwahadaa wananchi kuwa yeye na Mbowe, Dr Slaa na n.k ni marafiki sana hivyo hakuna haja ya wananchi kuwakataa kuongea nao..
pia ametoa mil 10 atakae fanikiwa kumdhamini mgombea wa CHADEMA huku akiwa amemdhamini wa chama kigine kitu ambacho kitapelekea kukatiwa rufaa na kuondolewa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea jimbo la Arumeru Mashariki....
Nawaonea huruma magamba kwani Arumeru hakuna misikiti wala hijab
Mkuu unanafasi kubwa sana kwenye uchaguzi huu, amusheni watu huko hasa vijiji vya ndani ndani...............Mzee hukwenda ofisini leo? Hizi habari zimenichefua, ngoja niombe likizo fupi nirudi nyumbani kwa ajili ya kampeni kwa nyumba kwa nyumba kwa ndugu zangu na marafiki.
Lazima CDM tushinde
ccm wamejaa matatizo sana.....na safari huko arumeru watakoma...
Huko hakuna Bakwata ambao huwa wanawatumiwa na CCM kuwahadaa waislam na kuonyesha kuwa CCM ni chama cha waislam na kinawapenda waislam,wakati waislam wamezudhurumiwa na CCM mali zao nyingi na kuwawekea chombo cha ulaghai cha kikafili Bakwata ili kiwahadae waislam ili washindwe kudai haki zao za msingi,sasa Arumeru hakuna hao Bakwata ambao huwa wanatumiwa na CCM.
Ni kweli mbinu zao nyingi tunazipata kutoka kwa wananchi wenye mapenzi na CHADEMA hivyo basi ni wajibu wa kila mpenda mabadiliko kuelekeza nguvu Arumeru ili mwisho wa siku mshindi apatikane kwa haki....si kwa kuuana kama CCM walivyo fanya Igunga.
CCM ni zaidi ya shetani wana mbinu nyingi chafu hivyo basi chadema na wapenda haki tuoongeze nguvu, maarifa pamoja na maombi ili shetani ashindwe........
Nawaonea huruma magamba kwani Arumeru hakuna misikiti wala hijab
sihitaji kusiwiwa na mtu yoyote mke wangu hunisifia kila siku.....Turudi kwenye maada nimetaja sehemu ambapo Green Guards wenu walipo weka kambi naamini ukjo Arusha nenda sehemu husika kama huna nauri ni PM nikurumia hata mkweny M-Pesa..............Huyu Crashwise alikuwa akiandika ***** kama huu wakati wa uchaguzi wa Igunga. Anaonekana ni mtaalam wa kutunga story za kijinga ili asifiwe na magwanda. Hana ushahidi wa ****** alioweka hapa. Tumezoea usanii wako.