Baada ya kufanya utafiti wa kina na kuangalia wagombea wanajitokeza kugombea kuteuliwa na vyama vyao kupeperusha bendera ktk katika jimbo la Arumeru Mashariki,naungana kabisa na wapiga kura wengi kuwa hakuna anayeweza kumshinda Sioi endapo atapitishwa na CCM na yeye mwenyewe kujipanga vizuri.
Huu ndio ukweli na CCM inatakiwa iangalie hilo kama wanataka kuwepo ktk jimbo hili.Wengine kwa sababu zao wanasema hana uzoefu ila wengi watakubaliana nasi kuwa uzoefu wa kuongea kwenye majukwa na kutia ahadi hew sii muhimu zaidi ya moyo wa ujasiri wa kukabiliana na changamoto za watu wa Meru.Kule Meru huwa tunaamini Maji yaliko pita mwanzo lazima tu yapite tena.
Nawashauri akina Kaaya's,Urio na Shami kujitoa mara moja na Kuumunga mkono Jemedari Sio Sumari awe mgombea pekee.
Sioi ni mtu wa kawaida sana,anaweza kuongea lugha ya kawaida kabisa hata na mtu ambaye si sawa na yeye.Na huyu ndie mtu anayetakiwa.Yeye si kama wengine wanatumia mifano ya kuwakejeli wananchi wa Arumeru Mashariki.Wananchi hawataki dharau,wanataka maendeleo.
Baada ya kufanya utafiti wa kina na kuangalia wagombea wanajitokeza kugombea kuteuliwa na vyama vyao kupeperusha bendera ktk katika jimbo la Arumeru Mashariki,naungana kabisa na wapiga kura wengi kuwa hakuna anayeweza kumshinda Sioi endapo atapitishwa na CCM na yeye mwenyewe kujipanga vizuri.
Huu ndio ukweli na CCM inatakiwa iangalie hilo kama wanataka kuwepo ktk jimbo hili.Wengine kwa sababu zao wanasema hana uzoefu ila wengi watakubaliana nasi kuwa uzoefu wa kuongea kwenye majukwa na kutia ahadi hew sii muhimu zaidi ya moyo wa ujasiri wa kukabiliana na changamoto za watu wa Meru.Kule Meru huwa tunaamini Maji yaliko pita mwanzo lazima tu yapite tena.
Nawashauri akina Kaaya's,Urio na Shami kujitoa mara moja na Kuumunga mkono Jemedari Sio Sumari awe mgombea pekee.
Sioi ni mtu wa kawaida sana,anaweza kuongea lugha ya kawaida kabisa hata na mtu ambaye si sawa na yeye.Na huyu ndie mtu anayetakiwa.Yeye si kama wengine wanatumia mifano ya kuwakejeli wananchi wa Arumeru Mashariki.Wananchi hawataki dharau,wanataka maendeleo.
Chadema jimbo wanachukua, Joshua Nassary yuko juu ya wote.