rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wakuu story inayoendelea hapa Arusha na Moshi sasa hivi ni kuhusu uchaguzi wa Arumeru mashariki,Kila mtu hapa anaongelea juu ya Lowassa kutumia karata ya Arumeru kama dalili za ushindi wake 2015,atakaye peperusha bendera ya ccm ni mkwe wa lowassa,inasemekana lowassa anafanya mbini zote ili huyo mkwe wake apate ushindi kwani utaongeza nguvu kwenye kambi yake,kuna kila dalili ccm kushinda kwa kutumia mbinu chafu,wana ccm wengi kutoka mbali wamepiga kambi Arumeru na tunaamini chadema wanajua hilo na kama hawajui imekula kwao,yetu macho na masikio tunataka kuona nguvu ya huyu mkuu Lowassa itaishia wapi!