Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
mkuu kumbuka bongo kila kitu kinawezekana.!!!
nakuhakikishia wameru watampopoa na mawe! Na anajua hivyo ndio maana anatambaa chini kwa chini kama nyoka! Hawezi kujitokeza hadharani!
mkuu kumbuka bongo kila kitu kinawezekana.!!!
Uongo mtupu. Lowassa yupo Sauz tangu wikiendi.
Wana JF kuna jambo la ajabu sana hapa Meru leo Afisa ardhi wa wilaya na mwingine kutoka Makao makuu wanapita na Mkuu mtarajiwa wa Kaya wakishawishi woote wenye Migogoro ya ardhi watarejeshewa Ardhi yao kama watamchagua Siyoi
Najaribu kujiuliza kama mawaziri na maafisa waandamizi wanapita kwanye majukwaa ya kichinichini ya Siasa Ofisi zao zipo na nani?
Huu ni Ushahidi tosha kuwa CCM wameisahiwa mbinu
Nikiripoti kutoka Arumemeru ni Mgosi Mgeni wenu wa JF
wewe ni reporter wake? Au ulikuwa nae huko south ukiwa unampa masaburiUongo mtupu. Lowassa yupo Sauz tangu wikiendi.