abadilishe namba y simu basi kama anaona anasumbuliwa na mshefa
stage aliyofikia huyu dada na mshefa si ya kuzimiana cm, hawa wameshakuwa kama mke na mume so kubadili no. ya cm sio suluhisho, suluhisho ni huyo dada kuamua kuachana na huyo mshefa wake ingawa itamdisturb lakini inabidi coz huyo mshefa ana mke, na wanaume walivyo mashetwan akiachika tu huyo dada na mshefa atampiga chini... atakosa bara na pwani shaurize!