Arudisheje hisia kwa mumewe? ...Msaada tafadhali

abadilishe namba y simu basi kama anaona anasumbuliwa na mshefa

stage aliyofikia huyu dada na mshefa si ya kuzimiana cm, hawa wameshakuwa kama mke na mume so kubadili no. ya cm sio suluhisho, suluhisho ni huyo dada kuamua kuachana na huyo mshefa wake ingawa itamdisturb lakini inabidi coz huyo mshefa ana mke, na wanaume walivyo mashetwan akiachika tu huyo dada na mshefa atampiga chini... atakosa bara na pwani shaurize!
 
hapana babu nimeamini lol ni kwamba tu nimefurah umeniongezea Module kwenye somo langu la Gender

Natumai umeamini baada ya kuelewa na si kwa kuogopa hatima ya kutoamini (mfano kuishi kwenye tanuru la miiba milele)!!

Ngoja niache kuwatisha wajukuu zangu...ukweli mwingine unauma sana, Ni bibi yenu pekee anayeelewa hilo somo!!
 
Wapendwa WanaJF.<br />
Natumaini wote mu wazima........naombeni msaada wa namna ya kushauri. <br />
<br />
Ni rafiki yetu kifamilia, kwa muda mrefu yeye na mumewe wamekuwa kwenye migogoro ya hapa na pale ya kindoa. Kusema ukweli mumewe amekuwa akimis-behave kwa kipindi ikiwemo kucheat, physical abuse and the like. Mke akawa anaumia, anaconfront wanagombana.. After a while mgogoro ule ukapungua (ile frequency ya wao kuja kushtaki kwetu kesi zao ukapungua na mwisho kuisha kabisa- wadau tukakaa na kumshukuru MUNGU juu ya wokovu huu maana hali ilipokuwa inaelekea ilikuwa inatishia uhai wa ndoa ile). <br />
<br />
Juzi kanijia huyo mke ananomba ushauri kama mwanamke mwenzie. Akatoa siri ya mafanikio 'amani' ya miujiza iliyotawala kwenye ndoa yake kwa kipindi kile. Alisema alikujaamua kuwa 'mpole' asimfuatilie mumewe wala asijihangaishe naye....alitafuta 'mshefa' wa pembeni naye akawa anajilia raha kwa nafasi!!!....sikuamini lakini kutokana na matatizo aliyokuwa nayo kipindi kile nadhani nilimwelewa ingawa sikuafiki.<br />
<br />
Sasa anadai mumewe amejirekebisha sana na amebadilika na kuwa 'mume' tatizo liko kwake amejikuta amedevelop hisia kali za mapenzi kwa 'Mshefa' kuliko kwa mumewe na kila akijaribu kumuacha huyu jamaa anashindwa maana anasindwa kujicontrol kabisa. Not only that hata 'Mshefa' huyo hana dalili za kumsaidia 'kurudi' kwa mumewe kihisia kwani kila mara anakuwa kama anamblackmail vie kuwa anampenda na eti somehow huyu mwanamke amesababisha kutokuelewana flani kati yake yeye 'Mshefa' na mkewe nyumbani kwake. So kila mdada akijaribu kumuacha 'Mshefa' mshefa anakuja juu kimapenzi yaani anachochea vile. <br />
<br />
Mdada anasema mumewe alishagundua juu ya cheatignyake lakini akamsamehe baada ya mke kukiri na kuapa kuacha. Ila sasa ndo anashindwa kihisia yuko kwa 'Mshefa' zaidi ya mumewe. Anaomba msaada afanyeje a'rudishe' mapenzi na hisia kwa mumewe??<br />
<br />
Amekiri kuwa alifanya kosa na anajutia kutafuta 'faraja' nje ya ndoa.<br />
<br />
Naombeni tumsaidie .....Nitawaacknowledge msijali
<br />
<br />
Ushauri wa bure kwako ukija na thead yakn hapa jf andika kwa lugha moja mchanganyiko nouma haina fleva
 
Kwa majumuisho ya haraka haraka ninawezakusema kuwa thread hiii imeonyesha yafuatayo
Kwa wanawake:
1. Once ukishakubali kuingia ndoani, WEWE NI MALI YA MUMEO PEKE YAKE. No matter what happened USITHUBUTU kutafuta suluhisho kwa kuwa na mahusiano nje ya ndoa yako. No matter what are the causes unatakiwa KUJITULIZA ukisubiri upepo wa mapenzi toka kwa mumeo ubadili njia Hakuna atakayekuelewa kwa wewe kuwa na mahusiano nje kwa jina la kutafuta faraja, wala nini
2. Iwapo ndoa imekuwa chungu, kuliko kutafuta temporary solution ni bora ukaamua kuterminate mahusiano ya ndoa (ingawa pia hutoeleweka kijamii). Ni mwanaume pekee anayeruhusiwa, atakayeeleweka na atakayeshauriwa kutafuta temporary solution ya kwenda nje ya ndoa,
3. Mwanamke ameumbwa na hormon ya ziada ya UVUMILIVU so anatakiwa kuhakikisha anaitumia kwa manufaa yake, mumewe, ndoa na watoto wao. Asitegfemee hata siku moja mwanaume akaiaima na kuitumia kumfavor yeye. Mwanaume hana uvumilivu kwka kuwa DUNIANI WANAWAKE WANAOHITAJI SERVICE YAKE WAKO WENGI. Mwanamke aliyeBAHATIKA kuolewa anatakiwa kushikamana pale ashikwapo, lakini mwanaume aliyeoa anatakiwa kurtetemekewa, kuabudiwa na yule aliyemuoa. Kuolewa kwa mwanamke ni BAHATI so hatakiwi kuichezea.
4. Kila amuzi liko mikononi mwa mwanamke so goes the saying..Mwanamke Mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono/mdomo wake mwenyewe.

Mshefa:
1. Mshefa and all of them wanafanya wakifanyacho under the woman's mercy. Yeye kukubaliwa kuwa Mshefa ilikuwa ni uamuzi wa Mke na yeye kuendelea kuwa mshefa ni uamuzi wa mke, anatake advantage ndani ya conducive environment. ANAWEZESHWA.

Mume:
1. Kumis-behave kwenye ndoa ni sehemu ya maisha yake na ni sawa mradi tu either akumbuke familia au ajirudi kabla mambo hayajawa mabaya
2. Mke akimletea za kuleta mume ni haki yake kutafuta faraja nje ya ndoa na hilo si kosa

Generally:
1. Wanawake si "wapole' katika mahusiano kama tunavyojiaminisha/amini
2. Cheating kwa wanawake haiji pasipo sababu iwe ni loophole au inevitable forces
3. No matter what the reason is Cheating kwa mwanamke IS UNACCEPTABLE.
Usijaribu kushindana na Mwanaume

KWA MDADA:
1. Adhamirie na kuweka NIA ya kuachana na Mshefa otherwise hakuna usghauri utakaomsaidia kumwacha mshefa

Hahahahahahah Babu nisamehe lol naona sampling imekuruka haya naongezea
4. Once ukiamua kucheat kwa nia ya kuziba pengo katioka ndoa yako USIKIRI na wala USICHE ila kuwa mwangalifu ZAIDI lol

khaaaaa!!!.....Mwj1 nilitaka kukuletea Soulmate umfunde lakini mnhh, acha nisubiri kwanza. Ushauri gani huo eti asiache?
Unless wataka nambia 'usiche' means something tofauti niijuavyo mie...lol....Utaua wewe!
 
Ok, MJ1... hebu lete mrejesho wa MSHEFA na SHOGAKO

Au ndio paka kala mbwa??
 
Back
Top Bottom