Artificial intelligence

Mb-one

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
882
1,282
Wana jf nisaidien nin maana sahihi ya artificial intelligence.na kwa kiswahili linaandikwaje?
 
Kwanza kabisa tukianza na nini maana ya Intelligence:- from the dictionary tunapata yafuatayo;
[SIZE=-1]NOUN:[/SIZE]
    1. The capacity to acquire and apply knowledge.
    2. The faculty of thought and reason.
Hivyo basi utaona kwamba Binadamu ni kiumbe pekee anayeweza akafanya hayo hapo juu ya kujifunza kitu na kuweza kukiapply katika vitu tofauti... LAKINI

Wanasanyansi wamekuwa wakijitahidi kutengeneza mashine ambazo zina Intelligence..., yaani zinaweza zikajifunza kitu na kuweza kuki-apply katika nyanja tofauti ( Hence the word Artificial) Na mpaka sasa wameshapiga hatua sababu kuna mashine zenye computer ambazo zinaweza kujifunza mambo kutokana na scenarios ambazo mashine inazipata (yaani inakuwa ina-upgrade codes zake) mfano kuna computer Chess Game ambayo kwa jinsi unavyocheza nayo inazidi ku-upgrade moves zake na kuwa bora zaidi na kwa kufanya hivyo inakuwa ni vigumu zaidi kuifunga muda unavyoendelea....

Nadhani jambo ambalo limekuwa gumu kwa wanasayansi ni kuweza kufanya hizi mashine ziwe na feelings kama za mwanadamu yaani love, hate, hasira huzuni n.k.
 
Kwanza kabisa tukianza na nini maana ya Intelligence:- from the dictionary tunapata yafuatayo;<br />
<span style="font-family: arial"><font size="-1"><b>NOUN:</b></font></span><ol class="decimal"><li><ol class="decimal"><li>The capacity to acquire and apply knowledge.</li><li>The faculty of thought and reason.</li></ol>
</li></ol>Hivyo basi utaona kwamba Binadamu ni kiumbe pekee anayeweza akafanya hayo hapo juu ya kujifunza kitu na kuweza kukiapply katika vitu tofauti... <b>LAKINI</b><br />
<br />
Wanasanyansi wamekuwa wakijitahidi kutengeneza mashine ambazo zina Intelligence..., yaani zinaweza zikajifunza kitu na kuweza kuki-apply katika nyanja tofauti ( Hence the word Artificial) Na mpaka sasa wameshapiga hatua sababu kuna mashine zenye computer ambazo zinaweza kujifunza mambo kutokana na scenarios ambazo mashine inazipata (yaani inakuwa ina-upgrade codes zake) mfano kuna computer Chess Game ambayo kwa jinsi unavyocheza nayo inazidi ku-upgrade moves zake na kuwa bora zaidi na kwa kufanya hivyo inakuwa ni vigumu zaidi kuifunga muda unavyoendelea....<br />
<br />
Nadhani jambo ambalo limekuwa gumu kwa wanasayansi ni kuweza kufanya hizi mashine ziwe na feelings kama za mwanadamu yaani love, hate, hasira huzuni n.k.
<br />
<br />
asante mkuu kwa kunielewesha
 
Back
Top Bottom