Wana jf nisaidien nin maana sahihi ya artificial intelligence.na kwa kiswahili linaandikwaje?
Simple! Maana yake ni Intalijensia ya Saidi Mwema... Au!! Ngoja wenyewe waje. Teh teeh!
<br />Wana jf nisaidien nin maana sahihi ya artificial intelligence.na kwa kiswahili linaandikwaje?<br />
Simple! Maana yake ni Intalijensia ya Saidi Mwema... Au!! Ngoja wenyewe waje. Teh teeh!
<br />
we kweli mkaabure yaan ndo fikra zako zilipoishia ,pole mkuu
<br />Kwanza kabisa tukianza na nini maana ya Intelligence:- from the dictionary tunapata yafuatayo;<br />
<span style="font-family: arial"><font size="-1"><b>NOUN:</b></font></span><ol class="decimal"><li><ol class="decimal"><li>The capacity to acquire and apply knowledge.</li><li>The faculty of thought and reason.</li></ol>
</li></ol>Hivyo basi utaona kwamba Binadamu ni kiumbe pekee anayeweza akafanya hayo hapo juu ya kujifunza kitu na kuweza kukiapply katika vitu tofauti... <b>LAKINI</b><br />
<br />
Wanasanyansi wamekuwa wakijitahidi kutengeneza mashine ambazo zina Intelligence..., yaani zinaweza zikajifunza kitu na kuweza kuki-apply katika nyanja tofauti ( Hence the word Artificial) Na mpaka sasa wameshapiga hatua sababu kuna mashine zenye computer ambazo zinaweza kujifunza mambo kutokana na scenarios ambazo mashine inazipata (yaani inakuwa ina-upgrade codes zake) mfano kuna computer Chess Game ambayo kwa jinsi unavyocheza nayo inazidi ku-upgrade moves zake na kuwa bora zaidi na kwa kufanya hivyo inakuwa ni vigumu zaidi kuifunga muda unavyoendelea....<br />
<br />
Nadhani jambo ambalo limekuwa gumu kwa wanasayansi ni kuweza kufanya hizi mashine ziwe na feelings kama za mwanadamu yaani love, hate, hasira huzuni n.k.