Arsene Wenger Manager Bora Kuliko Sir Alex……..

VoiceOfReason kwa kuongezea, asilimia kubwa ya wachezaji walioondoka Man U ukiondoa kiwango cha mpira, wengi waliondoka sababu ya Personal issues, nakubaliana na wewe khs hili,we kumbuka kile kitendo cha Sir Alex kumpiga kiatu usoni mwa David Beckam mpaka akamchana ngozi,hicho kitamfanya Beckam aendelee kubaki Man U under Sir Alex,mpaka aondoke SAF Beckam nina hakika atarudi Man U, Jaap Stam naye alikumbwa na upepo wa Ferguson bila kutarajia na ndo maana alimpaka huyo manager huku tayari alishaondoka pamoja na kwamba Stam ni beki mzuri sijui kama amestaafu, kwa Wenger sijaona bifu na wachezaji wake, ni kocha anayeweza kuishi na kila mchezaji, wachezaji wote walioondoka hakuna hata mmoja aliyempaka Wenger, nakubaliana na VoiceOfReason kwamba Wenger ni kocha mbunifu management ya soka kwa upande wa wachezaji! Wenger anapokuwa katika kipindi kigumu mara nyingi hutumia busara zake kuwatuliza wachezaji, lkn Ferguson wakati mwingine hasira zae utaziona waziwazi mpaka unaogopa! Cristiano nadhan alikimbia sababu hiyo!
Papa Mapao,
SAF ni binadamu kama wewe so kugombana na watu ni kitu cha kawaida,Guardiola alisema kabisa hawataki Etoo na Ronaldinho hata Yaya Toure but kitu cha msingi ni jinsi ya kuziba pengo la huyo mchezaji,wote wameondoka bbut hamna pengo lao,Mancini amegombana na Belamy,Tevez,Adebayor.Mourinho aligombana na Baloteli,Roben but still timu inafanya vizuri
Issue ya Beckham alipigwa na kiatu bahati mbaya ,nakumbuka ilikuwa game against Liverpool timu ilionyesha kiwango kibovu SAF akawa anawafokea wachezaji na akapiga kiatu kikaenda kumpata Becks na baada ya kuondoka Becks SAF alimleta Ronaldo ambae alikuwa bora kuliko Becks mimi namchagua CR7 dhidi ya Becks.
Stam alitunga kitabu ambacho kilikuwa kinampiga madongo jinsi SAF alivyomsajili kutoka Holland sidhani kama kuna kocha angependela hicho kitu na kuondoka kwa Stam SAF alikuja kumleta RIO ambae ametengeza ukuta hapo ManU hadi sasa.Na baada ya kustaafu soka STAM anafanya kazi ya uskauti wa Manchester United katika bara la America ya Kusini
Hata suala la CR7 liko wazi kuwa yeye mwenyewe alitaka kuondoka na kupata changamoto nyingine na Madrid walikuja na offer ambayo huwezi kukataa na still unasema sababu ya kuondoka na SAF .Ukumbuke baada wa World Cup 2006 kule Ujerumani baada ya CR7 kusababisha Rooney apewe red card ,Waingereza walianza kumuandama CR7 na SAF alisimama kidedea kumtetea
 
Mkuu miaka sita iliyopita ndio angalau itakuwa favourable kwa fergie sababu ya kuuzwa kwa Ronaldo, for 80m apart from that imekuwa ni hatari tu kwa Fergie, kina Veron, Djemba Djemba, Kleberson e.t.c,

Sidhani kama kuna ubishi kwamba kati ya signings za Fergie na Wenger ni zipi zimeleta faida zaidi kama nilivyoweka kwenye jedwali langu hapo juu, au ngoja nikukumbushe..., Anelka, Overmass, Pires, Henry, Adebayor, Toure, hizi zote baada ya kuuza zilileta massive amounts of cash..., na issue ya kubring more out of average players????? How about this one for size, Diego Forlan alivyokuwa United alifanya nini na alivyoondoka amefanya nini..., alafu niambie ni mchezaji gani ambaye career yake imekuwa better baada ya kuondoka Arsenal
Bado unakwepa request yangu TUWEKEE STATS ZA KUANZIA FERGIE ALIVYOINGIA MAN UTD NA ZA WENGER ARSENAL MPAKA LEO, i)manunuzi ii)mauzo iii)faida inayopatikana baada ya timu kuchukua makombe etc etc ili tulinganishe wenyewe faida na hasara.

Unakimbilia akina Forlan umesahau akina Solskjer, Sheringham, Valencia, Yorke hawa wote walikuwa average players prior to joining Man Utd lakini angalia walichofanya baada ya kujiunga. Kuna watu kama akina O'shea, Evans, Gibbson hao sio wachezaji wa kucheza kwenye Premier League lakini angalia SAF alivyowageuza.

Kama alivyosema Belo hapo juu, angalia replacements za wachezaji wote walioondoka Man Utd and this goes way back kuanzia miaka ya kina Lee Sharpe, Kanchelskis, Ince mchezaji pekee ambaye tumeshindwa kumreplace ni Kean na tulishindwa kumreplace Schmeichel ila idara nyingine zote mambo yalikuwa mazuri, sasa ukiangalia Arsenal mpaka leo hamjamreplace Viera, Henry, Sol Campbell, Gallas etc etc.
 
Bado unakwepa request yangu TUWEKEE STATS ZA KUANZIA FERGIE ALIVYOINGIA MAN UTD NA ZA WENGER ARSENAL MPAKA LEO, i)manunuzi ii)mauzo iii)faida inayopatikana baada ya timu kuchukua makombe etc etc ili tulinganishe wenyewe faida na hasara.

Unakimbilia akina Forlan umesahau akina Solskjer, Sheringham, Valencia, Yorke hawa wote walikuwa average players prior to joining Man Utd lakini angalia walichofanya baada ya kujiunga. Kuna watu kama akina O'shea, Evans, Gibbson hao sio wachezaji wa kucheza kwenye Premier League lakini angalia SAF alivyowageuza.

Kama alivyosema Belo hapo juu, angalia replacements za wachezaji wote walioondoka Man Utd and this goes way back kuanzia miaka ya kina Lee Sharpe, Kanchelskis, Ince mchezaji pekee ambaye tumeshindwa kumreplace ni Kean na tulishindwa kumreplace Schmeichel ila idara nyingine zote mambo yalikuwa mazuri, sasa ukiangalia Arsenal mpaka leo hamjamreplace Viera, Henry, Sol Campbell, Gallas etc etc.

Mkuu sasa naona unaongea tu ili kujaza kurasa....,
Yorke kabla ya kuja United alikuwa Villa ambao ndio walimgundua na alifanya vizuri sana Villa ndio Sir Alex akamnunua and that goes to all Sheringham; na Super Sub Solskjer, na watu kama Valencia na Berbatov walikuwa wanacheza vizuri sana before kuja United ndio maana Sir Alex akawanunua

Profit ya Timu inakuja kwa mambo mengi entrance ya uwanja, matangazo, television, mauzo ya jezi, Champions league, how far you reach kwenye league na transfer ya wachezaji na kama umenisoma nimekwambia due to united kujaza uwanja wao kila siku, mapato mengine wanapurchasing power kuliko Arsenal..., Ila Wenger sababu hana hiyo purchasing power amekuwa akitumia Magic Touch yake kununua Raw Talent and Turning it into Diamon..

Replacing Henry and Viera???, Dont make me laugh The Viera's and Henry dont grow on Trees especially kama Wenger hana pesa za kuwanunua kina Wayne Rooney (ambaye hata kipofu alidhani kwamba ndio atakuwa next Pele) au labda angekuwa na 30m angemchukua Rio Ferdinand.., Alafu si kweli Arsenal haijamreplace Gallas Arsenal Best defence yao ilikuwa ya kina Martin Keown, Dixon na Tony Adams; na kipa David Seaman

Kwahiyo Wenger ndio mtu pekee ambaye ambaye time and time again anabadilisha the Unknowns To World Beaters..... HENRY, TOURE, VIERA to name just a few na lazima ujue kuwa Sir Alex angejua how this people would turn out Arsenal isingeweza kuwapata due to buying Power ya United mfano mzuri ni Rooney Manager wengi walimtaka na alikuwa hataki kuondoka Everton lakini money talks...
 
Yet again naona umekwepa request, kwa hiyo succinctly put Wenger ni talent scout mzuri?
Mkuu sasa naona unaongea tu ili kujaza kurasa....,
Yorke kabla ya kuja United alikuwa Villa ambao ndio walimgundua na alifanya vizuri sana Villa ndio Sir Alex akamnunua and that goes to all Sheringham; na Super Sub Solskjer, na watu kama Valencia na Berbatov walikuwa wanacheza vizuri sana before kuja United ndio maana Sir Alex akawanunua
Villa, Tottenham ni average club ambazo zinabahatika kupata wachezaji wazuri, kuna mtu alikuwa anamjua Solskjer wakati anachezea Molde? Alafu hakuna aliyesema Berbatov ni average player kwa hiyo futa hiyo kauli yako.

Profit ya Timu inakuja kwa mambo mengi entrance ya uwanja, matangazo, television, mauzo ya jezi, Champions league, how far you reach kwenye league na transfer ya wachezaji na kama umenisoma nimekwambia due to united kujaza uwanja wao kila siku, mapato mengine wanapurchasing power kuliko Arsenal..., Ila Wenger sababu hana hiyo purchasing power amekuwa akitumia Magic Touch yake kununua Raw Talent and Turning it into Diamon..
Sasa mkuu utapata vipi faida kama hufiki mbali kwenye Champions League, hushindi vikombe? Au nyie wenzetu mnategemea kuuza wachezaji tu? Kweli anayewaita feeder club a la West Ham hajakosea maana mna uncover raw talent na kuturn them into finished article club nyingine zinakuja zinawabeba nyie mnabaki kujisifia tuna uncover talent.
Kuna club inayoishinda Barcelona kwa kukuza vipaji kupitia academy? Lakini angalia kila mwaka wanastrengthen timu yao na experienced players kutoka timu nyingine.

Replacing Henry and Viera???, Dont make me laugh The Viera's and Henry dont grow on Trees especially kama Wenger hana pesa za kuwanunua kina Wayne Rooney (ambaye hata kipofu alidhani kwamba ndio atakuwa next Pele) au labda angekuwa na 30m angemchukua Rio Ferdinand.., Alafu si kweli Arsenal haijamreplace Gallas Arsenal Best defence yao ilikuwa ya kina Martin Keown, Dixon na Tony Adams; na kipa David Seaman
You eloquently said Wenger ni mahili wa kuvumbua vipaji na kuviendeleza sasa kwa nini asivumbue akina Henry na Viera wengine?

30 mil kwa Rio Ferdinand imelipa, angalia tangu Rio ametua Man Utd wamechukua vikombe vingapi (faida yake imerudisha gharama za manunuzi yake) ukilinganisha na Arsenal tangu wameondoka akiina Tony Adams, Lee Dixon na Martin Keown..Na sasa hivi replacement ya Ferdinand ishapatikana in the name of Chris Smalling wakati nyie mnakimbilia kuwaleta watu kama akina Squillaci na Koscielny.


Kwahiyo Wenger ndio mtu pekee ambaye ambaye time and time again anabadilisha the Unknowns To World Beaters..... HENRY, TOURE, VIERA to name just a few na lazima ujue kuwa Sir Alex angejua how this people would turn out Arsenal isingeweza kuwapata due to buying Power ya United mfano mzuri ni Rooney Manager wengi walimtaka na alikuwa hataki kuondoka Everton lakini money talks...
Star players wenu wote walikuwa uncovered na nurtured na timu nyingine kabla hawajaja Arsenal Samir Nasri (Marseille) Cesc Fabregas (Barcelona) Theo Walcott (Southampton) Robin Van Persie (Fayenoord) and the list goes on, kocha wenu baada ya kuona wana potential ndio akawanunua, unlike wachezaji kama Jack Wilshere ambaye amepitia Arsenal academy tangu the age of 9.
 
Yet again naona umekwepa request, kwa hiyo succinctly put Wenger ni talent scout mzuri?

Villa, Tottenham ni average club ambazo zinabahatika kupata wachezaji wazuri, kuna mtu alikuwa anamjua Solskjer wakati anachezea Molde? Alafu hakuna aliyesema Berbatov ni average player kwa hiyo futa hiyo kauli yako.


Sasa mkuu utapata vipi faida kama hufiki mbali kwenye Champions League, hushindi vikombe? Au nyie wenzetu mnategemea kuuza wachezaji tu? Kweli anayewaita feeder club a la West Ham hajakosea maana mna uncover raw talent na kuturn them into finished article club nyingine zinakuja zinawabeba nyie mnabaki kujisifia tuna uncover talent.
Kuna club inayoishinda Barcelona kwa kukuza vipaji kupitia academy? Lakini angalia kila mwaka wanastrengthen timu yao na experienced players kutoka timu nyingine.


You eloquently said Wenger ni mahili wa kuvumbua vipaji na kuviendeleza sasa kwa nini asivumbue akina Henry na Viera wengine?

30 mil kwa Rio Ferdinand imelipa, angalia tangu Rio ametua Man Utd wamechukua vikombe vingapi (faida yake imerudisha gharama za manunuzi yake) ukilinganisha na Arsenal tangu wameondoka akiina Tony Adams, Lee Dixon na Martin Keown..Na sasa hivi replacement ya Ferdinand ishapatikana in the name of Chris Smalling wakati nyie mnakimbilia kuwaleta watu kama akina Squillaci na Koscielny.



Star players wenu wote walikuwa uncovered na nurtured na timu nyingine kabla hawajaja Arsenal Samir Nasri (Marseille) Cesc Fabregas (Barcelona) Theo Walcott (Southampton) Robin Van Persie (Fayenoord) and the list goes on, kocha wenu baada ya kuona wana potential ndio akawanunua, unlike wachezaji kama Jack Wilshere ambaye amepitia Arsenal academy tangu the age of 9.
Faida ya Wenger imepatikana vipi..??? takes time to build a team na katika muda wa Wenger ameweza huku akiwa na funds kidogo kuhakikisha Arsenal wanaamia kwenye uwanja mpya na kutransform the way they used to play... its takes time to build a team hata hiyo Barcelona unayoisema hivi ilikaa miaka mingapi bila kuchukua kombe mpaka sasa ilivyotengeneza this World beating team??

Alafu point yako ya kusema star wote wa arsenal wanakuzwa na academy nyingine alafu wenger akiona potential anawanunua its a non starter ; Hivi kazi ya manager nini si ni kuona potential ya mchezaji???? au unadhani huwa kuna magic pill wachezaji wanapewa na from not having talent magically wanakuwa world beaters??? alafu hivi kuna zaidi ya ku-nurture talent than changing a winger into a top scorer striker (henry) na a midfielder into a good defender (Toure)???

Therefore Wenger ndio aliofanya Arsenal kuwa hivi (the current Arsenal) kwa kubadilisha mfumo wanaocheza; na kuhakikisha project yao ya kuhama uwanja inafanikiwa (if you want to know how hard that is, waulize everton ambao mpaka leo wanajaribu..) and talking about spending 30m kwa defender who was 6m just a few years ago thats shows how a manager failed to see the potential...., vile vile what about the Taibi's Djemba Djemba, and the Kleberson.... man you must be blind to compare Wenger and Sir Alex when it comes to transfer market
 
Huwezi kununua mchezaji bei ghali kutoka Ligue 1 hata siku moja labda kutoka Lyon,wachezaji ghali wanatoka England,Spain na Italy na Wenger hawezi kushindana na timu nyingine.Nasri,Sagna,Clichy,Chamakh,Wiltord,Pires,Adebayor,Toure,Squilaci,Koscienly,Flamini na wengineo.Wachezaji ambao Wenger amenunua kwa hela nyingi wengi wao wamechemka mfano Walcot,Reyes
 
Huwezi kununua mchezaji bei ghali kutoka Ligue 1 hata siku moja labda kutoka Lyon,wachezaji ghali wanatoka England,Spain na Italy na Wenger hawezi kushindana na timu nyingine.Nasri,Sagna,Clichy,Chamakh,Wiltord,Pires,Adebayor,Toure,Squilaci,Koscienly,Flamini na wengineo.Wachezaji ambao Wenger amenunua kwa hela nyingi wengi wao wamechemka mfano Walcot,Reyes
Mkuu you have underlined what I have been saying all along......, Arsenal haina purchasing power kama ya hizi timu nyingine na alishasema "he is not looking at passports to see where a player is coming from, he is just looking for talent, na English players are overpriced na kama unaona Walcot amechemka thats your opinion and you are entitled to it; Reyes alikuwa talent but he was home sick, na mapatano yalikuwa kwamba wenger hakulipa pesa zote sababu kulikuwa na clause ya mechi na makombe mangapi kama angeshinda nao ndio price ingekuwa as agreed.
 
What a load of steaming BS!!
Faida ya Wenger imepatikana vipi..??? takes time to build a team na katika muda wa Wenger ameweza huku akiwa na funds kidogo kuhakikisha Arsenal wanaamia kwenye uwanja mpya na kutransform the way they used to play... its takes time to build a team hata hiyo Barcelona unayoisema hivi ilikaa miaka mingapi bila kuchukua kombe mpaka sasa ilivyotengeneza this World beating team??
It takes time to build a team, Wenger amekaa Arsenal tangu 1996 muda gani zaidi anataka? SAF kila baada ya miaka minne anajenga timu mpya ambayo inajumuisha wachezaji wazamani na wapya. It took SAF five years kabla hajachukua kikombe na Man Utd baada ya hapo he has never gone more than two season bila kikombe. FACT!
Lol washabiki wa Arsenal mnaniachaga hoi sana kwa hiyo kwa kuwa Barca walikaa miaka mitano bila kuchukua kikombe ndio inajustify failure ya manager wenu? Angalia katika kipindi cha 1999-2004 walibadirisha makocha mara ngapi? Kwa hiyo na wewe unategemea Wenger atatengeneza World Beating Team kwa kujaza wachezaji kama akina Squillaci, Bendtner, Diaby et al?

Alafu point yako ya kusema star wote wa arsenal wanakuzwa na academy nyingine alafu wenger akiona potential anawanunua its a non starter ; Hivi kazi ya manager nini si ni kuona potential ya mchezaji???? au unadhani huwa kuna magic pill wachezaji wanapewa na from not having talent magically wanakuwa world beaters??? alafu hivi kuna zaidi ya ku-nurture talent than changing a winger into a top scorer striker (henry) na a midfielder into a good defender (Toure)???
Unakataa nini na unakubali nini? Unataka kutuambia SAF uwa haoni potential za wachezaji?Need I list them? Eti World Beaters hivi Arsenal imteoa World Beaters wangapi? Wewe utakuwa na amnesia si bure. Kila kocha ana failure zake kwenye signings, you and I both know Wenger has had his fair share of flops vile vile lakini kwa kuwa umevaa miwani ya Arsenal ilo wewe hutaki kulikubali.

Therefore Wenger ndio aliofanya Arsenal kuwa hivi (the current Arsenal) kwa kubadilisha mfumo wanaocheza; na kuhakikisha project yao ya kuhama uwanja inafanikiwa (if you want to know how hard that is, waulize everton ambao mpaka leo wanajaribu..) and talking about spending 30m kwa defender who was 6m just a few years ago thats shows how a manager failed to see the potential...., vile vile what about the Taibi's Djemba Djemba, and the Kleberson.... man you must be blind to compare Wenger and Sir Alex when it comes to transfer market
Kwa hiyo kwenye statement yako juu hapo unataka kutuambia Rio Ferdinand ni flop at Man Utd?
 
What a load of steaming BS!!

It takes time to build a team, Wenger amekaa Arsenal tangu 1996 muda gani zaidi anataka? SAF kila baada ya miaka minne anajenga timu mpya ambayo inajumuisha wachezaji wazamani na wapya. It took SAF five years kabla hajachukua kikombe na Man Utd baada ya hapo he has never gone more than two season bila kikombe. FACT!
Lol washabiki wa Arsenal mnaniachaga hoi sana kwa hiyo kwa kuwa Barca walikaa miaka mitano bila kuchukua kikombe ndio inajustify failure ya manager wenu? Angalia katika kipindi cha 1999-2004 walibadirisha makocha mara ngapi? Kwa hiyo na wewe unategemea Wenger atatengeneza World Beating Team kwa kujaza wachezaji kama akina Squillaci, Bendtner, Diaby et al?


Unakataa nini na unakubali nini? Unataka kutuambia SAF uwa haoni potential za wachezaji?Need I list them? Eti World Beaters hivi Arsenal imteoa World Beaters wangapi? Wewe utakuwa na amnesia si bure. Kila kocha ana failure zake kwenye signings, you and I both know Wenger has had his fair share of flops vile vile lakini kwa kuwa umevaa miwani ya Arsenal ilo wewe hutaki kulikubali.


Kwa hiyo kwenye statement yako juu hapo unataka kutuambia Rio Ferdinand ni flop at Man Utd?
Mkuu you either dont know your facts or you have got selected amnesia.... Took two years wenger tangia amekuja Arsenal kujukua kombe na mpaka hapo hajawahi kumaliza chini ya top four as well as kubadilisha arsenal wanavyocheza mpira na kuhakikisha Arsernal wanapata new ground... na ameweza kufanya hayo yote with his hands tied up kwa kutokuwa na funds kama watu anaoshindana nao

Ofcourse Rio at 30m is a bad bargain cause two years before angeweza kupatikana kwa 6m just before he had a good world cup; embu list hao world beaters ambao Fergie aliwasajiri..... utaona kuwa karibia wote from the Cantonas..., walikuwa wameshavumbuliwa na timu nyingine ndio Sir Alex akawachukua..., everytime he tries to go na unkwons he comes with Taibi na kina Djemba Djemba...

Mkuu mimi sio mshabiki wa gunners I say it as it is ningekuwa mshabiki wa gunners nisingesema kuwa Wenger ameitransform Gunners kutoka kwenye par ya kina Tottenham, na kuifanya among the top teams in England na kuifanya ipendwe due to the beautiful game....

Anymore I can say I will be reaping myself... the fact is Wenger has achieved what he has achieved with less than the quarter of cash which has been spent top teams in UK; and in this current day and age whereby by money talks its very rare
 
List ya wachezaji wote waliosajiliwa kuanzia 1986 - 2010. Naomba utuletee list ya Wenger

Red signifies a player signing for United
Blue signifies a player departing United


All transfers only apply to players who made first team appearances.

Details are in the format; Month signed/sold - Player Name - Club bought from/sold to - Fee (If known)
Courtesy of Salford Red

1986
Jan - Terry Gibson - Coventry City - Swap Deal
Feb - John Sivebaek - Vejle Boldklub - £285,000
Mar - Derek Brazil - Rivermount Boys Club
Mar - Peter Davenport - Nottingham Forest - £570,000
Jul - Deiniol Graham - Wales Schoolboys
Oct - Liam O'Brien - Shamrock Rovers - £50,000
Oct - Paul Wratten - Middlesbrough Schoolboys


Jan - Alan Brazil - Coventry City - Swap Deal
Aug - Mark Hughes - Barcelona - £2.5 Million
Sep - Mark Dempsey - Sheffield United - £20,000
Oct - John Gidman - Manchester City


1987
Jul - Viv Anderson - Arsenal - £250,000
Jul - Brian McClair - Glasgow Celtic - £850,000
Dec - Steve Bruce - Norwich City - £825,000


Jan - Peter Barnes - Manchester City - £30,000
Feb - Mark Higgins - Bury - £10,000
Aug - Terry Gibson - Wimbledon - £200,000
Aug - John Sivebaek - St Etienne - £220,000
Aug - Frank Stapleton - Ajax Amsterdam
Sep - Gary Bailey - Contract cancelled


1988
Jun - Jim Leighton - Aberdeen - £450,000
Jun - Lee Sharpe - Torquay United - £185,000
Jun - Mark Hughes - Barcelona - £1.8 Million
Jul - Darren Ferguson - Apprentice
Oct - Mal Donaghy - Luton Town - £650,000
Nov - Ralph Milne - Bristol City - £175,000
Dec - Guiliano Maiorana - Histon FC - £30,000


Jun - Remi Moses - Retired due to injury
Aug - Arthur Albiston - West Bromwich Albion
Aug - Graeme Hogg - Portsmouth
Aug - Kevin Moran - Sporting Gijon - Free
Sep - Chris Turner - Sheffield Wednesday - £175,000
Nov - Peter Davenport - Middlesbrough
Nov - Liam O'Brien - Newcastle United - £275,000
Nov - Jesper Olsen - Bordeaux - £400,000



1989
Jun - Mark Bosnich - Croatia Sydney
Jun - Colin McKee - Scottish Schoolboys
Jun - Ian Wilkinson - Trainee
Jul - Mike Phelan - Norwich City - £750,000
Jul - Neil Webb - Nottingham Forest - £1.5 Million
Aug - Gary Pallister - Middlesbrough - £2.3 Million
Sep - Ben Thornley - England Schoolboys
Sep - Paul Ince - West Ham United - £2.4 Million
Sep - Danny Wallace - Southampton £1.3 Million
Dec - Les Sealey - Luton Town - Loan


Jan - Nicky Wood - Retired due to injury
Mar - Gordon Strachan - Leeds United - £300,000
Aug - Paul McGrath - Aston Villa - £450,000
Aug - Norman Whiteside - Everton - £750,000
Dec - Les Sealey - End of loan
 
1990
Mar - Les Sealey - Luton Town - Loan
Jun - Denis Irwin - Oldham Athletic - £625,000
Jun - Les Sealey - Luton Town
Jun - Neil Whitworth - Wigan Athletic - £45,000
Jul - Ryan Giggs - England Schoolboys
Jul - Simon Davies - Unknown


Apr - Les Sealey - End of loan
May - Billy Garton - Retired due to injury
Aug - Mike Duxbury - Blackburn Rovers - Free
Dec - Colin Gibson - Leicester City - £100,000
Dec - Tony Gill - Retired through injury


1991
May - Andrei Kanchelskis - Shakhytor Donetsk - £650,000
Jul - David Beckham - Essex Schoolboys
Jul - Nicky Butt - Gtr Manchester Schoolboys
Jul - Chris Casper - Lancashire Schoolboys
Jul - Keith Gillespie - N Ireland Youth
Jul - Gary Neville - Manchester Schoolboys
Jul - John O'Kane - Nottingham Schoolboys
Jul - Paul Scholes - Rochdale Schoolboys
Jul - Ben Thornley - England Schoolboys
Aug - Peter Schmeichel - Brondby - £600,000
Aug - Paul Parker - Queens Park Rangers - £1.7 Million


Jan - Viv Anderson - Sheffield Wednesday - Free
Jun - Mark Bosnich - Croatia Sydney
Jun - Ralph Milne - Sing Tao Hong Kong
Jul - Les Sealey - Aston Villa - Free
Jul - David Wilson - Bristol Rovers
Aug - Deiniol Graham - Barnsley - £50,000


1992
Jul - Kevin Pilkington - Associate Schoolboy
Jul - Terry Cooke - England Youth
Aug - Dion Dublin - Cambridge United - £1 Million
Aug - Pat McGibbon - Portadown
Nov - Eric Cantona - Leeds United - £1.2 Million


Feb - Jim Leighton - Dundee - £200,000
May - Paul Wratten - Contract Cancelled
Aug - Derek Brazil - Cardiff City - £85,000
Aug - Mal Donaghy - Chelsea - £100,000
Aug - Mark Robins - Norwich City - £800,000
Nov - Neil Webb - Nottingham Forest - £800,000


1993
Jan - Les Sealey - Aston Villa
Jul - Roy Keane - Nottingham Forest - £3.75 Million
Jul - Phil Neville - England Schoolboys
Jul - Michael Clegg - Tameside Boys


Jun - Russell Beardsmore - AFC Bournemouth - Free
Jun - Ian Wilkinson - Stockport County - Free
Oct - Danny Wallace - Birmingham City - £400,000
Dec - Neil Whitworth - Blackpool - £100,000


1994
Jun - David May - Blackburn Rovers - £1.25 Million
Jun - Graeme Tomlinson - Bradford City - £100,000
Jul - Philip Mulryne - N Ireland Youth
Jul - Ronnie Wallwork -Manchester Boys
Jul - Michael Twiss - Gtr Manchester Boys


Jan - Darren Ferguson - Wolverhampton Wanderers - £250,000
Jan - Lee Martin - Glasgow Celtic - £350,000
May - Bryan Robson - Middlesbrough - Free
May - Clayton Blackmore - Middlesbrough - Free
May - Les Sealey- Blackpool - Free
Jun - Guiliano Maiorana - Free Transfer
Jun - Mike Phelan - West Bromwich Albion - Free
Sep - Neil Whitworth - Kilmarnock - joint deal of £350,000
Sep - Colin McKee - Kilmarnock - Joint deal
Sep - Dion Dublin - Coventry City - £2 Million


1995
Jan - Andy Cole - Newcastle United - £7 Million
Jul - John Curtis - England Youth
Jul - Danny Higginbotham - Gtr Manchester Boys
Jul - Mark Wilson - Trainee
Sep - Nick Culkin - York City - £250,000


Jan - Keith Gillespie - Newcastle United - £1 Million
Jul - Mark Hughes - Chelsea - £1.5 Million
Jul - Paul Ince - Internazionale - £7 Million
Aug - Gary Walsh - Middlesbrough - £ 255,000
Aug - Andrei Kanchelskis - Everton - £5 Million


1996
Jul - Wesley Brown - Gtr Manchester Boys
Jul - Raimond van der Gouw - Vitesse Arnhem - £500,000
Jul - Ronny Johnsen - Besiktas - £1.2 Million
Jul - Ole Gunnar Solskjaer - Molde - £1.5 Million
Jul - Karel Poborsky - Slavia Prague - £3.5 Million
Aug - Jordi Cruyff - Barcelona - £1.4 Million
Jul - David Healy - Trainee
Jul - Richard Wellens - Trainee


Jun - Steve Bruce - Birmingham City - Free
Jun - Paul Parker - Free Transfer
Aug - Lee Sharpe - Leeds United - £4.5 Million


1997
Jun - Teddy Sheringham - Tottenham Hotspur - £3.5 Million
Jul - Erik Nevland - Viking Stavanger - £1.5 Million
Aug - Henning Berg - Blackburn Rovers - £5 Million
Jun - Luke Chadwick - Trainee


May - Eric Cantona - Retired
Jul - Pat McGibbon - Wigan Athletic - £250,000
Aug - Simon Davies - Luton Town - £150,000
Dec - Karel Poborksy - Benfica - £2 Million


1998
Mar - Jonathan Greening - York City - £750,000
Jul - Jaap Stam - PSV Eindhoven - £10.75 Million
Aug - Jesper Blomqvist - AC Parma - £4.4 Million
Aug - Dwight Yorke - Aston Villa - £12.6 Million


Jan - John O'Kane - Everton - £400,000
Jun - Brian McClair - Motherwell - Free
Jun - Kevin Pilkington - Southend United - Free
Jun - Graeme Tomlinson - Free Transfer
Jul - Gary Pallister - Middlesbrough - £2.5 Million
Aug - Ben Thornley - Huddersfield Town - £250,000
Nov - Chris Casper - Reading - £300,000


1999
Jun - Mark Bosnich - Aston Villa - Free Transfer
Aug - John O'Shea - Trainee
Aug - Quentin Fortune - Atletico Madrid - £1.5M
Aug - Massimo Taibi - Venezia - £4.5M
Sep - Mickael Silvestre - Internazionale - £4M


Mar - Philip Mulryne - Norwich City - £500,000
Apr - Terry Cooke - Manchester City - £1M
Jun - Peter Schmeichel - Sporting Lisbon - Free Transfer
Dec - Erik Nevland - Viking Stavanger - £250,000



 
2000
May - Fabien Barthez - Monaco - £7.8 Million

Mar - Richard Wellens - Blackpool
Jun - John Curtis - Blackburn - £1.5 Million
Jun - Michael Twiss - Port Vale - Free Transfer
Jul - Danny Higginbotham - Derby County - £2 Million
Jul - Massimo Taibi - Reggina - £2.5 Million
Jul - Jordi Cruyff Alaves - Free Transfer
Nov - Alex Notman - Norwich - £250,000
Dec - Henning Berg - Blackburn Rovers - £1.75 million


2001
Jun - Ruud Van Nistelrooy - PSV Eindhoven - £19 Million
Jul - Juan Sebastian Veron - Lazio - £28.1 Million
Jul - Roy Carroll - Wigan Athletic - £2.5 Million
Aug - Laurent Blanc - Internazionale - Free Transfer


Jan - David Healy - Preston - £1.5 Million
Jan - Mark Bosnich - Chelsea - Free
May - Teddy Sheringham - Tottenham Hotspur - Free Transfer
Jul - Jonathan Greening - Middlesbrough - £2 million
Jul - Mark Wilson - Middlesbrough - £1.5 million
Jul - Jesper Blomqvist - Everton - Free Transfer
Aug - Jaap Stam - Lazio - £15.25 Million
Dec - Andy Cole - Blackburn Rovers - £7.5 million


2002
Jan - Diego Forlan - Independiente - £7.5 million
Jul - Rio Ferdinand - Leeds United - £30 million
Aug - Ricardo Lopez - Real Valladolid - £1.5 million


Feb - Michael Clegg - Oldham Athletic - Free Transfer
May - Paul Rachubka - Charlton Athletic - £200,000
Jun - Denis Irwin - Free Transfer
Jun - Raimond van der Gouw - Free Transfer
Jun - Ronny Johnsen - Free Transfer
Jul - Ronnie Wallwork - West Bromwich Albion - Free Transfer
Jul - Nick Culkin - Queens Park Rangers - Free Transfer
Jul - Dwight Yorke - Blackburn Rovers - £2.6 million


2003
Jun - David Bellion - Sunderland - £2 million
Jul - Eric Djemba-Djemba - Nantes - £4.2 million
Jul - Tim Howard - NJ/NY Metro Stars - £2.3 million
Aug - Cristiano Ronaldo - Sporting Lisbon - £12.24 million
Aug - Jose Pereira Kleberson - Athletico Paranaense - £5.93 million


Jun - David Beckham - Real Madrid - £25 million
May - Laurent Blanc - Retired
May - David May - Released
May - Lee Roche - Burnley - Free Transfer
Jun - Danny Webber - Watford - Free Transfer
Aug - Juan Veron - Chelsea - £15 million
Aug - Jimmy Davis - Deceased


2004
Jan - Louis Saha - Fulham - £12.82 million
May - Alan Smith - Leeds - £7 million
June - Gabriel Heinze - Paris St. Germain - £6.9 million
Jul - Gerard Piqué - Barcelona - Undisclosed
Jul - Giuseppe Rossi - Parma - Undisclosed
Aug - Wayne Rooney - Everton - £27 million


Feb - Alan Tate - Swansea City
Apr - Fabien Barthez - Marseille - £5 million
May - Danny Pugh - Leeds - Free Transfer
Jul - Mark Lynch - Sunderland - Free Transfer
Jul - Nicky Butt - Newcastle United - £2.5 million
Aug - Luke Chadwick - Unattached - Free
Aug - Diego Forlán - Villarreal - Undisclosed
Dec - Bojan Djordjic - Rangers - Undisclosed


2005
Jun - Edwin van der Sar - Fulham - £2 Million
Jul - Park Ji-Sung - PSV Eindhoven - £4.5 Million
Sep - Ben Foster - Stoke City - Undisclosed


Jan - Eric Djemba-Djemba - Aston Villa - £1.5 Million
Jun - Roy Carroll - Released
Aug - Phil Neville - Everton - £3.5 Million
Aug - Kleberson - Beşiktaş - £2.5 Million
Nov - Roy Keane - Release


2006
Jan - John Obi Mikel - Lyn - Undisclosed
Jan - Nemanja Vidic - Spartak Moscow - Undisclosed
Jan - Patrice Evra - Monaco - Undisclosed
Jul - Michael Carrick - Tottenham Hotspurs - £18.6 Million
Aug - Tomasz Kuszczak - West Brom - Loan


Jun - John Obi Mikel - Chelsea - £16 Million
Jun - David Bellion - Nice - Undisclosed
Jul - Jonathan Spector - West Ham - £500k
Jul - Ruud van Nistelrooy - Real Madrid - £10.2 Million
Aug - Quinton Fortune - Bolton - Free
Aug - Liam Miller - Sunderland - Undisclosed


2007
Jan - Henrik Larsson - Helsingborgs - Loan
Jun - Luis Nani - Sporting Lisbon - £14 Million
Jul - Owen Hargreaves - Bayern Munich - £17 Million
Jul - Anderson - FC Porto - Undisclosed
Jul - Tomasz Kuszczak - West Bromwich Albion - Undisclosed
Aug - Carlos Tevez - Third Party - Loan


Jan - David Jones - Derby - £1 Million
Mar - Henrik Larsson - Helsingborgs - End of Loan
Jul - Kieran Richardson - Sunderland - £5 Million
Jul - Tim Howard - Everton - Loan
Aug - Alan Smith - Newcastle United - £6 Million
Aug - Giuseppe Rossi - Villarreal - £6.7 Million
Aug - Gabriel Heinze - Real Madrid - £8 Million
Aug - Ole Gunnar Solskjær - Retired


2008
Jan - Manucho - Petro Atlético - Undisclosed
Jan - Rodrigo Possebon - Internacional - Undisclosed
Jan - Fabio da Silva - Fluminese - £5.2 Combined with Brother
Jan - Rafael da Silva - Fluminese - £.2 Combined with Brother
Jun - Davide Petrucci - Roma - £200k
Sep - Dimitar Berbatov - Tottenham Hotspurs - £30.75 Million


Jan - Phil Bardsley - Sunderland - £2 Million
Jan - Ryan Shawcross - Stoke City - £1 Million
May - Gerard Pique - Barcelona - £6 Million
Jul - Chris Eagles - Burnley - £1.25 Million
Aug - Mikael Silvestre - Arsenal - £750 Thousand
Aug - Dong Fangzhuo - Released
Sep - Louis Saha - Everton - Undisclosed


2009
Jan - Zoran Tošić - Partizan Belgrade - Undisclosed
Jan - Ritchie de Laet - Stoke - Undisclosed
Jul - Antonio Valencia - Wigan - Undisclosed
Jul - Michael Owen - Newcastle - Free
Jul - Gabriel Obertan - Bordeaux - £3 Million
Jul - Mame Biram Diouf - Molde - Undisclosed


Jul - Carlos Tevez - Third Party - End of Loan
Jul - Fraizer Campbell - Sunderland - £3.5 Million
Jul - Cristiano Ronaldo - Real Madrid - £80 Million
Jul - Manucho - Valladolid - Undisclosed

 
2010
Jul - Chris Smalling - Fulham - £7 million
Jul - Javier Hernández - Guadalajara - £6 million
Aug - Tiago Manuel Dias Correia (Bebe) - Vitoria de Guimaraes - £7.4m
Aug - Marnick Vermijl - Standard Leige - £300k


Jan - Danny Simpson - Newcastle United - £500 thousand
Jul - Zoran Tošić - CSKA Moscow - Undisclosed
Jul - Ben Foster - Birmingham City - £6 Million
Aug - Craig Cathcart - Blackpool - £500k
Aug - Rodrigo Possebon - Santos - Undisclosed
 
2010
Jul - Chris Smalling - Fulham - £7 million
Jul - Javier Hernández - Guadalajara - £6 million
Aug - Tiago Manuel Dias Correia (Bebe) - Vitoria de Guimaraes - £7.4m
Aug - Marnick Vermijl - Standard Leige - £300k


Jan - Danny Simpson - Newcastle United - £500 thousand
Jul - Zoran Tošić - CSKA Moscow - Undisclosed
Jul - Ben Foster - Birmingham City - £6 Million
Aug - Craig Cathcart - Blackpool - £500k
Aug - Rodrigo Possebon - Santos - Undisclosed
hawa wanakuchosha bure tu bingwa wa epl (19 times)... watu wakikosa mafanikio ya kweli... hawana cha kujadiri wanakuja na siledi za namna hii. Failure...... kujadiri kitu kisichokuwa na mashiko ktk timu!
 
hawa wanakuchosha bure tu bingwa wa epl (19 times)... watu wakikosa mafanikio ya kweli... hawana cha kujadiri wanakuja na siledi za namna hii. Failure...... kujadiri kitu kisichokuwa na mashiko ktk timu!
Mkuu unajua usemalo????
 
Okay Kwa kuweka hayo manunuzi utaona kwamba hata Wenger angetaka hizo pesa alizotumia Sir Alex kwa manunuzi Wenger asigeweza kuzipata Arsenal so he had to do it the Hard way...., 30m Rio; 27M Wayne Rooney, 18 Michael Carrick..., Thats a Luxury Arsenal and other teams can not afford unless you wanna go the Leeds United and Portsmouth Way..., Even Real Madrid kama sio Council yao kuwa-bail out now and then hiyo sio jinsi ya ku-run a football club
 
Jamaa ameongea fact tupu kuhusu udhaifu wa Arsene Wenger, mimi ni Arsenal damu facts alizoweka jamaa hapo juu ni kweli tupu na kama angelekebisha kasoro hizo Arsenal sasa ingekuwa ina mafanikio makubwa sana.
 
Okay Kwa kuweka hayo manunuzi utaona kwamba hata Wenger angetaka hizo pesa alizotumia Sir Alex kwa manunuzi Wenger asigeweza kuzipata Arsenal so he had to do it the Hard way...., 30m Rio; 27M Wayne Rooney, 18 Michael Carrick..., Thats a Luxury Arsenal and other teams can not afford unless you wanna go the Leeds United and Portsmouth Way..., Even Real Madrid kama sio Council yao kuwa-bail out now and then hiyo sio jinsi ya ku-run a football club
LMAO!!
Arsenal sio timu maskini kama unavyotaka kutuaminisha..... 3rd richest club in the world.
 
Back
Top Bottom