Hii nimeikuta sehemu: Aaron Ramsey....alifunga bao dhidi ya Man United Mei 1, 2011 siku iliyofuata Osama Bin Laden akauwawa na Wamarekani...Ramsey juzi amefunga bao dhidi ya Marseille, siku iliyofuata Gaddafi ameuwawa.....magoli ya huyu dogo yana nuksi..au ana damu ya Marekani huyu???​