white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
hadi dk ya 85 arsenal anaongoza kwa bao 5!kwa 2
Mkuu mi ni man utd,nimepagawa na hako kaushindi,nikajikuta nina post huku!Mkuu kuna thread za timu bana haina haja ya kuanzisha sredi ya result. Gunners bana mna matatizo sana
Poa jibaba, tunakusubirini Lane nyeupe jumapili ijayo tumalizie hasira zetu za leo.Mkuu mi ni man utd,nimepagawa na hako kaushindi,nikajikuta nina post huku!
hivi kumbe hata kibahatisha mnakenua meno?Poa jibaba, tunakusubirini Lane nyeupe jumapili ijayo tumalizie hasira zetu za leo.