Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna ila hakuna linaloshindikana kwa ARSENAL!!!!!:laugh::laugh:
hv kwanini anakuumiza kichwa huyu kama kushnda 2meshda tena co kwa kubahatisha mana walianza wao cc kuwaonyesha ni wanaume 2kachomoa na 2kawaongeza sasa kunanini tena michelle achana nae huyu ni M2 UNITED hvyo roho inamuuma mana wao wamezoea kubebwa kama yanga bongo hapa
kaka tuache utani sidhani kama dakika 70 za mwanzo ulikuwa na tabasamu usoni
masikini akipata, ...........................................
halali usiku mzima
kumbe arsenal tuna maadui wengi sana humu jamvini................
wengi sana,ila ndo tunakomaa nao vibaya mno.....:laugh:
bora we ummeliona bana ile si off side kabsaaa
bora we ummeliona bana ile si off side kabsaaa
Hongereni Wazee na Wapenzi wa Arsenal!
Tatizo washabik wa man u mnachonga sana haya sasa barca ndo hao wamedundwa goli 2 kwa 1 sasa mmebadili usemi mnasema tutakiona cha moto camp nou. Ukweli ni kwamba barca hana chake mbele ya the gunners msimu huu. Michelle shusha pressure ushindi ni wetu.