The potters huwa wanatusumbua sana wakiwa kwao Britannia stadium. Wakitia maguu pale the Emirates ni kichapo tuYou call pessimism I call cautious look, mkuu. Kumbuka nilipost kabla ya mechi na anything can happen mpira ukishaanza. Stoke City ni timu moja inayotupaga wakati mgumu, nadhani unalijua hilo. It's easy kuwa "in know " baada ya kushinda/kufungwa
Naona mmekalia nafasi za watu eee
Vitendo dhidi ya maneno.
Mbona hujiamini shida nini babaaaa!!!! Mpira dakika 90Arsenal wana gundu kupangiwa dhidi ya Bayern na Barcelona