Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dahh ila kipa wetu cech mzuri tu kwenye matukio ya move, ila kwenye penalty ni kimeo sana, tangu msimu huu uanze ye penalty anafungwa tu tena ata bora angekuwa anazifata bali anaamishwa kabisa, Kweny game za uefa huko mbele mambo yakitokea kukawa na upigaji wa penalty basi itabidi wenger amkumbuke ospina
Yani Cech kwenye penalty ni mbovu hafai aisee, sijawahi kumuona akisev penalty. Kwenye moves ndio yupo vizuri.
 
Hahahhaha swahiba sisi sote wamoja yaani mimi silali kila siku tarumbeta kwamba UEFA na EPL mnagonga zote ........ ila mtani wanasema ukipata furahi ukikosa kijutie!!!.... kelele muhimuuuu
Yaani katika Manure wote wewe ndio Jasiri wengine wote wanaona soni, timu yenu mdebwedo .... .... .... chichi tunachanja mbuga tu, endeleeni kucheza kila Ali Hamisi khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hakuna cha Nzi wala Belo et al wamebaki kuchungulia tu aibu!
 
upload_2016-12-10_18-21-45.png


Good boy Granit Xhaka
 
Leicester wamepata mnyonge wao leo, wameamua kumalizia hasira kwake. MANC wasipokuwa makini leo wanaweza kuchezea kichapo cha mbwa mwizi 5-0
Hiyo ni welcome Peps kwenye EPL khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Verses Stoke City mmmh. Hii timu huwa inatuwekea ngumu na leo sina matumaini but let's go Arsenal
Mkuu rubaman always pessimistic about arsenal. Good things are on their way to the Emirates. Cheer up and pick up your confidence amigo. [HASHTAG]#HuuMwakaWetu[/HASHTAG]
 
Huu ushindi kama utakuwa ushindi unaweza kuwaamsha hawa waliokuwa wamelala na kuwapa motivation ya hali ya juu hivyo kuwa tishio kubwa kati ya sasa na ngwe ya pili. Pamoja na kuwa wanacheza jirani na relegation zone lakini bado wana timu nzuri.

Hiyo ni welcome Peps kwenye EPL khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Even me sijafurahia sanchenga kupumzishwa. Angemuacha atupie hata moja aongoze ubao wa wafungaji wa ligi.
Diego akitupia kesho atamuacha
Prof lazima awapumnzishe mastaa players kwa sababu ya wingi wa mechi wakati ushindi ukiwa unaonekana ni wazi, huwezi kucheza tu bila kufikiri kesho. Le Prof is right most of the times ..... ..... .....
 
Huu ushindi kama utakuwa ushindi unaweza kuwaamsha hawa waliokuwa wamelala na kuwapa motivation ya hali ya juu hivyo kuwa tishio kubwa kati ya sasa na ngwe ya pili. Pamoja na kuwa wanacheza jirani na relegation zone lakini bado wana timu nzuri.
Usisahau mwaka jana Leicester walibebwa sana walipata 12 penalties na ushee, leo wanacheza vizuri kwa timu kama Man City ambayo kocha wao Peps bado hajapata formula ya EPL. Kumbuka Leicester walichapwa 5 mtungi na Porto wakati wengi wanaocheza leo walipumnzishwa kungojea huu mtanange, wakati Man City walicheza full kikosi na Celtic kwenye CL.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Prof lazima awapumnzishe mastaa players kwa sababu ya wingi wa mechi wakati ushindi ukiwa unaonekana ni wazi, huwezi kucheza tu bila kufikiri kesho. Le Prof is right most of the times ..... ..... .....

Ukipata matokeo ni muhimu kuwapumzisha wachezaji ambao hauna mbadala nao kirahisi na huu mwezi ni chuma baada ya chuma
 
Ile mechi na Porto haikuwa na priority kwao kama hii ya leo. Kucheza jirani na maeneo ya relegation zone inatisha ukikosea steps tu umedumbukia chooni tena choo cha Uswazi.

Usisahau mwaka jana Leicester walibebwa sana walipata 12 penalties na ushee, leo wanacheza vizuri kwa timu kama Man City ambayo kocha wao Peps bado hajapata formula ya EPL. Kumbuka Leicester walichapwa 5 mtungi na Porto wakati wengi wanaocheza leo walipumnzishwa kungojea huu mtanange, wakati Man City walicheza full kikosi na Celtic kwenye CL.
 
Shkodran Mustafi limps off against Potters to leave Arsene Wenger with defensive injury crisis

''ARSENAL were plunged further into an injury crisis on Saturday as Shkodran Mustafi limped off the pitch against Stoke. The German centre-back pulled up before the half hour mark with what appeared to be a hamstring crock.''

upload_2016-12-10_19-56-4.png
Shkodran Mustafi suffered what appears to be a hamstring problem against Stoke
''Hector Bellerin, making his own return from injury, replaced Mustafi, forcing Gabriel to take up a more central position. Mathieu Debuchy is set for six weeks out with a hamstring injury. Per Mertesacker is back in training but is not expected to return until the new Year. The Gunners were already without Aaron Ramsey (hamstring) for their clash against Stoke. Arsenal face a run of six games in 28 days, beginning with a trip to Everton on Tuesday.''

upload_2016-12-10_19-58-57.png


Arsene Wenger is now facing an injury crisis after losing the German centre-back

upload_2016-12-10_19-59-49.png


Shkodran Mustafi is replaced by the returning Hector Bellerin
 
''Arsenal players donated Saturday's wages to the club's charity foundation. They were far less generous to Stoke, however, roaring to the top of the Premier League table was this comfortable win. This wasn't vintage Arsenal. Far from it. But when you're gunning for the title, three points is three points.''

''Arsene Wenger's men took a while to going at a rain swept Emirates Stadium. In the end, though, this was another routine win for the Gunners as they reinforced their championship credentials with a third successive league triumph.''

Safi sana vijana wa Gunners .... .... .... [HASHTAG]#COYG[/HASHTAG]
 
Mkuu rubaman always pessimistic about arsenal. Good things are on their way to the Emirates. Cheer up and pick up your confidence amigo. [HASHTAG]#HuuMwakaWetu[/HASHTAG]
You call pessimism I call cautious look, mkuu. Kumbuka nilipost kabla ya mechi na anything can happen mpira ukishaanza. Stoke City ni timu moja inayotupaga wakati mgumu, nadhani unalijua hilo. It's easy kuwa "in know " baada ya kushinda/kufungwa
 
here we go Gunners..next trip to everton biashara asubuhi tukumbuke hii everton imetoka kuchapwa
 
Back
Top Bottom