Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 8,761
- 8,640
Sasa Mimi nashangaa kitu hapa kwa baadhi ya wadau, haya ni mapambano, tumepambana were kati ya timu nyingi zimepatikana 16 na sisi tumooo hatua inayofuata ukipigwa ndo kwaheri lazima upambane ndio upite, yeyote utakayepangiwa lazima umpige ndio usonge mbele hakuna mwepesi hapo ndio maana wamefuzu kama wewe ulivyofuzu, nasemajee aletwe yeyote ili tuthibitishe ubora wa kikosi chetu si tuko ligi ya mabingwa uoga wa nini? Tukipigwa na Barcelona, Madrid hao hakuna wa kulalamika ulalamike kivipi kwani huwafahamu kuwa wanapokezana kombee!!! Tugangamale tuu tusingetaka kupambana nao tusingeingia 16 bora