Nani bora kati ya Mahrez na Perez?
Wewe hujui kitu kumhus LucasHe's another Podolski. Huyu jamaa Lucas sio upgrade kwa Giroud hata atom moja. Muda si mrefu tutawasikia mnanung'unika na kumtukana Wenger kwa kumleta huyu dogo. Ni bora wale anti-Wenger muanze kutukana mapema kabla ya Lucas kuingia dimbani.
Wewe hujui kitu kumhus Lucas
Kwaiyo unataka kusema nitu wa kubutua butua hahahah rubuman umenichekesha sanaNakubali sijui, sijawahi kumwona akicheza hata hivyo stats zake na umri wake pia ukiangalia video uchezaji wake haupo tofauti na Podolski. Kitu kingine amecheza katika La liga ambayo ipo tofauti sana na PL ambapo mchezaji hapewi nafasi ya kuwa na mpira kwa Zaidi ya sekunde 10. Utakuja kusikia watu wakimpiga madongo kama wanavyofanya kwa Giroud.
Source plizVimebuma
Ushakunywa virobaVimebuma
Sasa hutaki au!Ushakunywa viroba
Mustafi vipimo bimebuma
Ushakunywa viroba
Mustafi teyari ni mchezaji wa arsenal na ashafanya vipimo na akafuzu tangu juzi, na amesaini mkataba wa miaka 5 sema yeye kwakuwa ameitwa team ya taifa hivo work permit ndo imechelewa tofauti na lucas ambae yy hajaitwa team ya taifa, source bbc sports and sky portsMustafi vipi mazee mbna mbna kimya
Tayari keshatangazwa na kutambulishwa....Mustafi teyari ni mchezaji wa arsenal na ashafanya vipimo na akafuzu tangu juzi, na amesaini mkataba wa miaka 5 sema yeye kwakuwa ameitwa team ya taifa hivo work permit ndo imechelewa tofauti na lucas ambae yy hajaitwa team ya taifa, source bbc sports and sky ports