UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,585
- 1,883
Af sijui huwa anajisikia Vipi kusimama kifua mbele kua ataspend big this summer Yani daaah kwa kweli ili kabira nomaa duuhArsenal wameambiwa Lacazette atagharimu si chini y 40M na LACAZETTE akataka uhamisho Ijumaa, wao wamepeleka 35M, ajabu sana.
Huyu mzee sifahamu ana matatizo gani na pesa ambayo si yake.