SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Watani subirini tena 2017
FT
City 2-2 Arsenal
Point 1 Etihad inatosha.
Na nyie hamta shirika CPL kama mkifungwa mechi yenu na Aston Villa alafu man united na city wakishinda mechi zao zoteInatosha sana maana Man City na Chelsea hawatacheza CL mwakani.
Hio ndio argument ya tunaomtetea Arsene Wenger kwamba wale wanaotaka atoke Arsenal wanatambua kwamba kuna timu zingine kubwa kama Man City, Chelsea na Liverpool ambazo hazitacheza CL mwakani?
Man City hatopata nafasi hiyo endapo Man Utd watashinda echi zao mbili zilizobakia.
Champions League - 2016/17 Leicester, Tottenham, Arsenal na Man Utd/ Man City.
Europa League 2016/17 - Man City/ Man Utd, Southampton, West Ham na Liverpool.
Na nyie hamta shirika CPL kama mkifungwa mechi yenu na Newcastle alafu man united na city wakishinda mechi zao zote
Nilichanganya. Ni Aston VillaMkuu, mimi sio mpenzi wa Spurs naona unazungumzia mechi ya mwisho kati ya Spurs na Newcastle Utd.
Mimi ni wa Gunners.
Arsenal inawakaribisha Aston Villa Emirates siku ya mwisho ya msimu wa ligi.
COYGs!!!!!
Nadhani ndio kawaida yao top 4arsenal mwaka huu wamezingua kinyama