Kapo Jr JF-Expert Member Jan 31, 2011 996 280 Sep 25, 2016 #3 tisha tisha jamaa,mapemaaaa watu walilala na soksi,wanazidi kunoga washika bunduki wa london,big up Iwobi na mnyama Mustafi
tisha tisha jamaa,mapemaaaa watu walilala na soksi,wanazidi kunoga washika bunduki wa london,big up Iwobi na mnyama Mustafi
the say JF-Expert Member Oct 25, 2014 2,632 3,104 Sep 25, 2016 #4 Baada ya hapo utasikia "Wenger out"
G Guasa Ambonii JF-Expert Member Aug 13, 2015 8,547 10,273 Sep 25, 2016 #5 the say said: Baada ya hapo utasikia "Wenger out" Click to expand... Tetizo lao ndio hilo akishinda mechi mbili Aaah Wenger kocha ila zikianza sare na vipigo mpaka utawahurumia
the say said: Baada ya hapo utasikia "Wenger out" Click to expand... Tetizo lao ndio hilo akishinda mechi mbili Aaah Wenger kocha ila zikianza sare na vipigo mpaka utawahurumia
Sol de Mayo JF-Expert Member Sep 10, 2016 6,324 5,934 Sep 25, 2016 #7 Wana aseno vipi tena? Mechi 1 tu mmeanzisha na thread? Halaf kuna kijamaa hapo nimekiona meno yote out hahahaha..hongereni aise
Wana aseno vipi tena? Mechi 1 tu mmeanzisha na thread? Halaf kuna kijamaa hapo nimekiona meno yote out hahahaha..hongereni aise
G Guasa Ambonii JF-Expert Member Aug 13, 2015 8,547 10,273 Dec 14, 2016 #10 Uzi huu umetelekezwa! mstahmil maana hakuna namna
usser JF-Expert Member Sep 25, 2015 13,901 13,870 Dec 14, 2016 #11 Raha gan watu wengne mnawazaga cjui kqa kutumia, t*ko watu tumepgwa na bdo unasema rahaaa
NO04 JF-Expert Member Jun 29, 2015 1,754 1,232 Dec 15, 2016 #12 hahaaaa......rahaaaa!!! au ulimaanisha evtn rahaa??