X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Nchi inayo ongozwa kifisadi unafikiria wanajali ilo!Ndiyo kuna watu wana amka kutoka kwenye coma hata baada ya miaka ishirini but that is in some very rare cases. Hauwezi kuwa in that situation for that amount of time bila kua na brain damage. Lakini pia kuna factors mbili unabidi consider mkuu.
1.Umri.
Huyu bwana ana miaka 81 which is very old na past the life expectation of most developed countries. Sasa wa nini kumuweka mtu wa miaka 81 katika hali hiyo. Hata kama angekua kijana wa miaka 18 I don't see the point ya kumuweka mtu katika hali kama hiyo. Kumbuka kifo ni kwa kila mtu so hatuombi mtu asife bali tunaomba afe vizuri. Sasa je huko ni kufa vizuri?
2.Cost.
Kama ilivyo onyesha kwenye article ya mkuu BAK ambayo katu bandikia hapa, it costs that state $400,000 kwa mwaka kumhudumia huyu mtu. Je hiyo ni haki kweli kwa walipa kodi? Unatumia kiasi hicho cha pesa za wananchi kwa faida gani? Lazima mtu ucalculate cost & benefit. Jwa hali ya Sharon & hizo pesa it's a lose-lose situation kwa wananchi.