Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Serikali dhaifu+mahakama dhaifu+bunge dhaifi=? Naombeni majibu hapa ili tuzukue maamuzi mazito.
Serikali dhaifu+mahakama dhaifu+bunge dhaifi=? Naombeni majibu hapa ili tuzukue maamuzi mazito.
dhaifi ndio nini?
Majibu ni sawa na serikali inayofata utawala bora,serikali sikivu na yenye kuleta matumaini kwa watanzania,,additional point ni vema kutawaliwa na cuf,tlp ,cck na nccr mageuzi kuliko hawa waongo na wazandiki chadema,
Serikali dhaifu+mahakama dhaifu+bunge dhaifi=? Naombeni majibu hapa ili tuzukue maamuzi mazito.
Serikali dhaifu+mahakama dhaifu+bunge dhaifi=? Naombeni majibu hapa ili tuzukue maamuzi mazito.
nyie endeleeni kupiga majungu msifanye kazi , wengine tunazidi kuzikusanya.