Nsiande
JF-Expert Member
- Jul 27, 2009
- 1,649
- 872
Nsiande wanitesaaa lol
mimi nilipokuwa na miaka 9 nilikamatwa na kitabu kinaitwa 'kandanda kitandani' lol
we acha aisee
Vitabu vya warusi?
sio na kile cha 'Binti Chura'?
ULivisoma vya Ben R Mtobwa ?
Binti chura ni vile vya kichina vilivyotafsiriwa kiswahili
Hivi vya kirusi vililetwa nchini kwa wingi na wale ma'uncle' na ma 'aunt' zetu enzi hizo waliopata fursa ya kusoma urusi binafsi nilikuwa navyo kama viwili
Vitabu vya kiswahili vya hadithi pale mlimanicity vipo bei si mbaya sana,
Pia kama unaenda makongo kupitia ardhi ukianza ile vumbi tu after 'lami' utaona kibao cha library ya watoto kushoto
A novel idea (a bit pricey )wapo shoPpers,seacliff na steers ya mjini
Kuna hawa wauza magazeti wa posta wanauza bei maelewano ni used ila si vibaya sana
Last edited by a moderator: