Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
MIKOA AMBAPO WATU WATASHIRIKI IJUMAA HII KUWASOMEA WATOTO:
Mwanza (Mjini)
Morogoro
Dar
Arusha
...
Hakuna kitu chenye faida ya kudumu kwa mtoto kama kumsomea mara kwa mara....
Vitabu vyenyewe viko wapi...labda mtupe link.
Maana mi nilisoma sana vitabu (siyo kusomewa) nikiwa mdogo; lakini leo hii vinapatikana wapi...sijuhi.
Kitabu cha Abunuasi hivi kinauzwa wapi?
Kulikuwa na vitabu vya adithi za Biblia my dad alikuwa anatununulia...hizi adithi sijuhi za Yusufu na nduguze mi nilisoma kama novel. herufi kubwa na picha juu;
Maana si kusoma vitabu vya kidhungu...kutakuwa hakuna tofauti na kutazama katuni. Lol.
Mzee Mwanakijiji mimi nadhani umeniacha, naona kicwa cha habari tu na michango ya watu, sasa nahisi tu kuna kusomea watoto vitabu, kivipi! sijui
Inasikitisha unajua. Mimi nataka zile adithi za mama na mwana...hivyo vingereza wache wajifunze mashuleni..lakini ikija kwenye story napenda za kitanzania au niseme za kiafrika au basi za kidini zaidi. Nataka adithi zenye mafunzo yanayoendana na culture zetu.
Kuna nchi kama Japan ukipanda treni kila mtu ana comic book...nasikia kuna za age group tofauti..watoto vijana na wazee. Inasaidia kweli watoto kupenda kusoma. Huku mtoto unakuta ameshika KIU, afanyeje sasa na hakuna vya age yao.