Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Ni kweli Fidel ni vijimambo tu ila nikikumbuka nguvu nilizokuwaga nazitumia kupingana na hii...... ningezitumia shamba saa hizi ningekuwa mkulima tajiri.
But nafikiri bado kuna umuhimu wa kuendelea kugangamala kwenye vita hii kwani tukiwaruhusu kiwazi mbona itakuwa balaa??
Hata ukigangamala tatizo n'tu humfungi kamba kila n'tu ana maamuzi yake.
Si unajua labda jamaa alipendezewa na kitu flani sasa hicho kitu kwako kimesha anza kuchuja.
Hali kadharika na wewe nawe yale maufundi yaani mikiki mikiki uliyo kuwa unaipata zamani kutoka kwa jamaa unakuta imepungua bila shaka unatafuta dogo janja afanye replacement pale upate radha kama zamani