The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Basi sasa Teamo, Asprin na Roya rudini kwenye mada..........
MJ1 kwenda against hii mada nashindwa kabisa kwa kuwa mada yenyewe tu inahalalisha
Basi sasa Teamo, Asprin na Roya rudini kwenye mada..........
kicho kitabu FEKIVipi Kamanda mbona.....?
kitabu kinaendelea kusema kuwa Men are constant liars but women tend to lie before marriage but after getting married they NEVER lie. So kinashauri women tusiwetunachukulia too serious mkicheat au mkisema uwongo as ni nature yenu... ni kweli?
sipati picha jamaa zangu wanavyofurahia na kujiona washindi
Duh!!!:A S 39:,Dears I hope wote mu wazima and had a nice weekend.
Kidogo nimechanganyikiwa hapa na ninahitaji msaada wenu bandugu......
... Currently ninasoma hiki kitabu "Men are from Space, Women Must be from Heaven" By H. Madson.
Kuna sehemu inasema .....By nature men are hunters and explorers- they tend to have several affairs (Infidelate) because they feel insecure in nature and therefore need to prove their masculinity and male ego.......
......... And for women they do so in search of something missing from their marriages either attention, caress, emotional love e.t.c.
Kama hii ni kweli is it possibe that we ladies are fighting an endless battle which we will never win? kwa kupiga vita hii nature ya wanaume kutoka nje ya ndoa zao....Si wanasema you cant fight over nature??
Kuleni tano...huyu King Mswati anataka kuwa beberu kwa kujilimbikizia mali....
Katibu anaandaa kikao kujadili swala hilo...ajenda moja tu...rule 3 na Teamo...
Kamanda, unamaanisha KITABU au hiyo SENTENSI?kicho kitabu FEKI
HEHEHE!Hivi rule no 3 ina limitations?
Caroline yaani nilitamani hiki kitabu kingekuwa copy moja tu the whole world maana ningekuichoma kabisa na majivu kuyazika baharini. Nimechoka kabisa ...........Lakini nani aliyeitengeneza nature?? Nahisi kama alikuwa mwanaume vile!!
Kuleni tano...huyu King Mswati anataka kuwa beberu kwa kujilimbikizia mali....
Katibu anaandaa kikao kujadili swala hilo...ajenda moja tu...rule 3 na Teamo...
So its fake too kuwa ni nature yenu kuwa na affairs??kicho kitabu FEKI
I think I dont want to fight with you anymore............. lol (kama nawaona wapwa wanavyofurahia!!)
Basi sasa Teamo, Asprin na Roya rudini kwenye mada..........
Cheusi kwenda against mada ni kutoitendea haki maana mada yenye inakuwashia taa za kijani
Duh!!!:A S 39:,
ray:Mungu saidia Fidel80 na Kaizer wasiione hii post maana walikuwa wameanza kubadilika wakiiona sijui watarudi nyuma kidogo Dah!!!!
Samahani MJ1 huwezi kutengenganisha hi mada na infidelity....na pia huwezi kutenganisha infidelity na rules zake....pia huwezi kuwatenga infii's na infidelity....its a catch 22 situation..
Tunaitendea haki nature! Hata sisi hatupendi kufanya hivyo, lakini nature inatukataza. Unaweza kupingana na necha wewe?Wanaume kuna raha gani mnayoipata moyoni mnapoamua kufanya cheating ?
Ni dhahiri roho zenu zinawasuta lakini mnazifanya ngumu kama chuma ili muendeleze Infidelity
nimegundua inaweza kuwa sentensi... lakini tukimpa nafasi MJ1 anaweza kuweka chapter nzima hapa feki... kuna haja ya kucheki vizuri huyu platimun lady aseije akaharibu aiseeKamanda, unamaanisha KITABU au hiyo SENTENSI?
HEHEHE!Wanaume kuna raha gani mnayoipata moyoni mnapoamua kufanya cheating ?
Ni dhahiri roho zenu zinawasuta lakini mnazifanya ngumu kama chuma ili muendeleze Infidelity