Are tall men more desirable??

Wanawake wanavutiwa na wanaume warefu kwa sababu wanaamini wanakuwa na mashine kubwa. Hata hivyo kuna wanaume wafupi wana sub-woofer kama chupa ya pia...

haaah haaah duh mkuu umenifurahisha, sasa kwa Hashim Thabit inakuaje,kama ya punda au?
 
Michango imenichekesha sana. Naona wapenzi wa wafupi wamechoka kutoa utetezi. Kuna mada kama hii ilitolewa kipindi fulani kama sikosei watu wengi walitetea ufupi. Leo sijuhi wamekimbilia wapi; au wamefanyia research michango iloponda na wameamua kuunga mkono hoja kwa kukaa kimya?
 
Tall men seem sexier to women and more likely to father their children, in turn tall men find smaller women more attractive, the taller men are, the more likely they are to have found a mate and reproduced and the same goes for women who are below average height , 1.62cm (5'3").

Attraction based on height difference means the two sexes wont evolve to be the same stature.

acha nichunguze maana mi pia mrefu kiaina kisha nitathibitisha kama ni true au lies ahsante kwa taarifa.
 
I like them tall. Hata akikukumbatia unajickia comfortable kwa kweli. Wafupi wanakuwaga na kainferiority complex fulani hv.
 
imekaa vizuri......
imekaa vizuri nini?...kwamba tall men..........hamna kitu hapo,...mimi ni mfupi sana lakn nakua na wapenzi wazuri,na hawajawahi kuniambia hayo mambo ya kutaka urefu sijui,..........hizo ni propaganda za majitu marefu bana
 
Sie wafupi kama funguo za starlet tunapigwa vikumbo tu.
<br />
<br />





Ha ha ha ha ha,Kaka umenivunja mbavu,mbona mm kijeba mwenzio na Mademu nagonga mwanzo mwisho na wananililia!!
Ningekuwa na Walet nene,ningesema labda wanaililia waleti yangu lakini sina kitu yet mademu napata!!

Kuna Mengi yanayotuunganisha,kimo ni kipengele kidogo tu!!
 
watu waseme yooooooooooote wanaume warefu alafu asiwe mnene ila ajae kidogo hata akikukumbatia unajisikia kitu, lakini wafupi lol! kwanza naenda nae wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom