Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,316
- Thread starter
- #421
sure surePersonality is what Defines someone's AttituDe...
Key concept
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sure surePersonality is what Defines someone's AttituDe...
Key concept
1..zipo mbinu nyingi sana za kuweza kurecruit mtu ndani ya nchi hasimu..jambo hilo lazima lifanyike kwa umakini mkubwa sana na mara nyingi hufanyika kwa mtu mmoja mmoja ambaye wewe unataka akusaidie kupata habari au taarifa muhimu..lakini kuwa na spy school ndani ya nchi hasimu bila wao kujua ni ngumu mno....labda kama nchi hiyo watu wa usalama wawe dhaifu...kwa nchi kama marekan,israel etc kuwa na spy school ndani ya nchi hasimu ni jambo gumu..ila kurecruit double agent toka nchi hasimu hili linafanyika kila siku..na zipo sababu xa kwa nini mtu anaisalit nchi yake na kuanza kutoa siri nje..mkuu de'levis naomba msaada kwa haya:
(1) inawezekana kwa mfano mossad ama CIA wakawa na recruitment school ndani ya nchi adui kama Iran pasipo idara za usalama za Iran kujua?
(2) pia, jaribio la mapinduzi ya kijeshi huko Turkey linaweza kuwa termed as "intelligence failure" i.e. kushindwa kwa idara ya ujasusi za Uturuki kuweza kunusa harufu za njama zozote za kupanga mapinduzi?
amazing piece of writing, asante sana kwa ufafanuzi wa kueleweka1..zipo mbinu nyingi sana za kuweza kurecruit mtu ndani ya nchi hasimu..jambo hilo lazima lifanyike kwa umakini mkubwa sana na mara nyingi hufanyika kwa mtu mmoja mmoja ambaye wewe unataka akusaidie kupata habari au taarifa muhimu..lakini kuwa na spy school ndani ya nchi hasimu bila wao kujua ni ngumu mno....labda kama nchi hiyo watu wa usalama wawe dhaifu...kwa nchi kama marekan,israel etc kuwa na spy school ndani ya nchi hasimu ni jambo gumu..ila kurecruit double agent toka nchi hasimu hili linafanyika kila siku..na zipo sababu xa kwa nini mtu anaisalit nchi yake na kuanza kutoa siri nje..
Kwa namna flani nchi pekee iliyolifanikisha jambo la kufundisha watu wake ndani ya nchi nyingine rafiki au hasimu ni vatican...the vatican intelligence and its fields of resources are second to none...
2..jaribio ka mapinduzi kule kwa bwana edorgan lina sura hasi kidogi..mimi kama mimi naweza kusema yafuatayo juu ya yale mapinduzi...
Unapotaka kupindua nchi mkakubaliana kufanya jambo hilo lazma mjue mbinu mnatakazotumia na hatimae kusgika dola..kwanza lazima mhakikishe mnashika njia zote muhimu kama vile viwanha vya ndege...lazima mhakikishe mnashika vituo vya taifa vya televishen na radio..lazima pawe na kiongozi atakayeongoza hayo mapinduzi...
Sasa wale jamaa wa uturuki wao hawakudhibiti chochote ya hivyo nilivyotaja hapo juu...kiongozi wa mapinduzi hakujulikana..hawakushika viwanja vya ndege rais edorgan alikuwa mapumzikoni na siku ya mapinduzi alipata taarifa kupitia kwa kaka yake ndiye alimpigia simu na baada ya kupata uhakika kuwa ni kweli kuna mapinduzi ya serikali yake alipanda ndege usiku huo huo na kurudi mji mkuu wa nchi...lakin pia unapotaka kupindua serikali lazima ujue utawadhibiti vipi viongozi wakuu kama rais,waziri mkuu nk...hili halikutokea uturuki..usiku huo huo rais alipofika akatangaza kupitia local television akiwataka wananchi waingie mtaani kupinga mapinduzi hayo...
Wale wanajeshi waliokuwa wakijaribu kupindua walishika kwa mda kituo cha televishen cha cnn tawi ka turkey na baadae wakakiachia...cnn tawi la turke sip chombo cha taifa....
Now baada ya mapinduzi kufeli zaid ya wanajeshi 7000wamekamatwa na asubuhi yake watu ea usalama walitoa list ndeefu ya wahusika wa mpango huo na ealianza kushughulikiwa...ndani ya jeshi kuna kitengo tena nyeti sana cha mmbo ya ujasusi sasa ni ngumu kuamini kuwa walishondwa kuujua mpango huo hapo kabla..maana iweje watoe list ndefuu yawahusika siku moja baada ya tukio ..kwa nini wasingezuia jambo hilo kabla.!!!!?
Ukiangalia kwa jicho lingine kama hili langu unaweza kusema mpango wa mapinduzi yale ulipangwa na watu walio upande wa edorgan na yeye mwenyewe ili kujihakikishia utawala wa kudumu katika nchi ya turkey...wengi aliowakamata ni viongozi wa jeshi wasiokuwa upande wake...anatumia rungu la wananchi kumuunga mkono ktk kupinga mapinduzi hayo...
Kama kweli hapakuwa na mkakati wa kupanga juu ya mapinduzi hayo toka kwa edorgan basi wana usalama wa nchi hiyo wameonyesha udhaifu mkubwa lakini kwa namna yalivyotokea inaonekana ni mapinduzi ya kupangwa na mtawala....
umemjibu kwa ufasaha sana kwa maana jamaa alikuwa ana underestimate kazi za watu bila kujua kuna vijana wanaumia 24/7 ili yeye awe na amanikungekuwa hakuna intelligence apparatus hapa tanzania sidhana kama ungekuwa na muda ama utulivu wa kuweza kukaa na kuandika haya unayoandika hapa.
TISS are too smart to disguise the way they operate and do their things to the extent kwamba mtu kama wewe huwezi kujua kama wapo na wanafanya kazi. nevertheless, they are as humans as you and i, so errors and miscalculations are inevitably there.
Hiki kikundi kwa sasa wanajiita "Kidon"jaribio la kuumua mahmoud lilifanyika mara mbili...jaribio la kwanza halikufanikiwa na la pili lilifanikiwa..mara ya kwanza alipewa sumu lakini aliweza kupona...na huyu bwana ilichukua miaka 20 mpaka anauwawa...mwaka 1989 nafikiri huyu mahmoud akiw ana mwenzake wakiwa wamejifanya kuwa ni viongozi wa dini waliwaua askari wawili wa kiisrael. walivalia mavazi ya kitumishi kama watumishi wa mungu na kuwabeba askari wale wawili na walipofika umbali wa km 3 toka walipowachukua mahmoud alitoa ishara kwa mwenzake na hivyo kufyatua risas zilizowaua....wakawazika vichakani..maisti ya askari mmoja ilionekana baadaya siku 3 na ya mwingine ilionekana baada ya miaka 7...
Mahmoud alikuwa top official katika kundi la hamas..huyu bwana alishughulika na uagizaji na ununua wa silaha toka mataifa ya nje...tukio la kuwaua wale askari wawili wa israel ndilo lilifanya uongozi wa israel ukamuweka kwenye list ya kuuwawa...
kumuua mtu hasa ambae nae anajua kuwa mda wote yuko kwenye hatari kuna taratibu zake...mkikurupuka hamuwezi kutekeleza jambo hilo...kitengo kilichohusika na mauaji hayo ni moja ya kitengo maalumu kilichoko ndani ya Mossad..na hawa jamaa wanajulikana kama ''ceaseria'' kama sijakosea hawachangamani na agent wengine wa kawaida...yaani kwa kifupi kama mossad ingekuwa ni dhehebu la dini basi kitengo cha hawa jamaa ungekiita ''patakatifu pa watakatifu''
shukrani sana kwa ufafanuzi wako mzuri mkuu de'levis1..zipo mbinu nyingi sana za kuweza kurecruit mtu ndani ya nchi hasimu..jambo hilo lazima lifanyike kwa umakini mkubwa sana na mara nyingi hufanyika kwa mtu mmoja mmoja ambaye wewe unataka akusaidie kupata habari au taarifa muhimu..lakini kuwa na spy school ndani ya nchi hasimu bila wao kujua ni ngumu mno....labda kama nchi hiyo watu wa usalama wawe dhaifu...kwa nchi kama marekan,israel etc kuwa na spy school ndani ya nchi hasimu ni jambo gumu..ila kurecruit double agent toka nchi hasimu hili linafanyika kila siku..na zipo sababu xa kwa nini mtu anaisalit nchi yake na kuanza kutoa siri nje..
Kwa namna flani nchi pekee iliyolifanikisha jambo la kufundisha watu wake ndani ya nchi nyingine rafiki au hasimu ni vatican...the vatican intelligence and its fields of resources are second to none...
2..jaribio ka mapinduzi kule kwa bwana edorgan lina sura hasi kidogi..mimi kama mimi naweza kusema yafuatayo juu ya yale mapinduzi...
Unapotaka kupindua nchi mkakubaliana kufanya jambo hilo lazma mjue mbinu mnatakazotumia na hatimae kusgika dola..kwanza lazima mhakikishe mnashika njia zote muhimu kama vile viwanha vya ndege...lazima mhakikishe mnashika vituo vya taifa vya televishen na radio..lazima pawe na kiongozi atakayeongoza hayo mapinduzi...
Sasa wale jamaa wa uturuki wao hawakudhibiti chochote ya hivyo nilivyotaja hapo juu...kiongozi wa mapinduzi hakujulikana..hawakushika viwanja vya ndege rais edorgan alikuwa mapumzikoni na siku ya mapinduzi alipata taarifa kupitia kwa kaka yake ndiye alimpigia simu na baada ya kupata uhakika kuwa ni kweli kuna mapinduzi ya serikali yake alipanda ndege usiku huo huo na kurudi mji mkuu wa nchi...lakin pia unapotaka kupindua serikali lazima ujue utawadhibiti vipi viongozi wakuu kama rais,waziri mkuu nk...hili halikutokea uturuki..usiku huo huo rais alipofika akatangaza kupitia local television akiwataka wananchi waingie mtaani kupinga mapinduzi hayo...
Wale wanajeshi waliokuwa wakijaribu kupindua walishika kwa mda kituo cha televishen cha cnn tawi ka turkey na baadae wakakiachia...cnn tawi la turke sip chombo cha taifa....
Now baada ya mapinduzi kufeli zaid ya wanajeshi 7000wamekamatwa na asubuhi yake watu ea usalama walitoa list ndeefu ya wahusika wa mpango huo na ealianza kushughulikiwa...ndani ya jeshi kuna kitengo tena nyeti sana cha mmbo ya ujasusi sasa ni ngumu kuamini kuwa walishondwa kuujua mpango huo hapo kabla..maana iweje watoe list ndefuu yawahusika siku moja baada ya tukio ..kwa nini wasingezuia jambo hilo kabla.!!!!?
Ukiangalia kwa jicho lingine kama hili langu unaweza kusema mpango wa mapinduzi yale ulipangwa na watu walio upande wa edorgan na yeye mwenyewe ili kujihakikishia utawala wa kudumu katika nchi ya turkey...wengi aliowakamata ni viongozi wa jeshi wasiokuwa upande wake...anatumia rungu la wananchi kumuunga mkono ktk kupinga mapinduzi hayo...
Kama kweli hapakuwa na mkakati wa kupanga juu ya mapinduzi hayo toka kwa edorgan basi wana usalama wa nchi hiyo wameonyesha udhaifu mkubwa lakini kwa namna yalivyotokea inaonekana ni mapinduzi ya kupangwa na mtawala....
Ufafanuzi mzuri sana mkuu, but your cup is not still empty.Infantry Soldier Katika kujibu swali lako ni kwamba kila nchi kazima ijue mahitsji yake..inshitaji nini na kutoka wapi na vipi itafanikisha kufika huko...katika hilo zipo njia mahsusi zinazotumika katika kufanikisha hilo..
Lazima waandaliwe watu wa kufanikisha hilo..na ili wakaifanye kazi kwa ukamilifu ni dhalihi maandalizi nayo kazima yawe kabambe kabisa...zipo nchi zinachukua watoto wadogo kabisa na kuwapeleka "shambani" watakaa huko na kutunzwa huko..watafundishwa kila kitu kuhusiana namahitaji...kama target country ni rwanda basi ni lazima watoto hao wafundishwe lugha ya taifa watakalokwenda,lazima wafundishwe tamaduni za huko,lafudhi,itikadi nk...
Wakishakuwa wakubwa wa umri wa kutosha na kwa njia za kijasusi watapenyezwa kwebye target country na ku-infintrate ndani ya serikali au taasisi nyeti..huko watakaa kama sleeper agent huku wakiendelea kukusanya na kuifluence maamuzi yoyote yanayokandamiza nchi yake ya asili...
Sasa kupandikiza mtu wako ndani ya nchi nyingine ni lazima uzingatie yafuatayo..kwanza ni lazima umbadili mtu wako identity yake..lazima ubadilishe jina lake liendane na kule unakotaka kumtuma..
Pili ni lazima umtengenezee cover story ambayo ataitumia akiwa huko kama kujitambulisha yeye ni nani mfano wa cover story ni hii:.
Kuanzia leo jina lako ni juvenali sikambona nyakakurugusi,mama yako ni sofia tibezuka na ulizaliwa kigali mwaka sept 24 mwaka 1990..wakati wa mauaji ya kimbali baba yako alitoroka na kwenda uhamishoni zambia akiwa ni yeye na familia yake.alipofika zambia alianziasha biashara yenye mafanikio makubwa lakini mwaka 2006 machi 21 baba yako alipata ajali na kufa ba hivyo wewe kama kijana wake mkubwa ukaamua kuiendeleza biashara hiyo...mwaka 2010 may 25 mama yako nae alifariki kwa malaria..ukiwa kijana mwenye mafanikio kubiashara umeamua kurudi katika nchi yako ya asili ilu uweze kuendesha biashara zako kwabi sasa kuna amani na umoja...
Hiyo ni mfano wa cover story utakayompa spy akiwa huko makazi mapya..lazima pia ajue tamaduni za huko aendako..lazima ashike ramani ya mji kichwani vizuri..
Ukiwa umejiridhisha kuwa kijana kaiva na yuko tayari kwenda ni lazima atengenezewe passport itakayoendana na utambulisho mpya..
Kwa kuwa katika cover story umemwambia kuwa baba yake alikimbilia zambia basi ni lazima huyu kijana safari yake ya kwenda target contry lazima ianzie zambia..msafirishe kwa mbinu zako mpaka zambia then aende anakokwenda...
Lakini pia kabla hajafika target country kazima afagamiane na wafanya biashara wakubwa na watu wa nchi huyo hata kwa mda wa miaka miwili..lengo ni kuwaaminisha kuwa ni mwenzao ili sku akifika awe na wenyeji
Baada ya hapo sasa unaweza kuruhusu kunguru kuzaliwa kwenye jamii ya njiwa...
Hata watu wazima wanaweza kutengenezwa na kutumwa..lakini kazima ujiridhishe na lugha,utamaduni,itikadi yanchi husika nk vyote avijue pasi kuacha shaka...lakini sambamba na hilo lazima unfanyie psycho-analysis mtu wako..umjue vizuri na kwa kina kabla ya kwenda...
Wachina kwa upande wao jatika hili wamejikita katika technology..wana uwezo mkubwa wa kuingia jatika mifumo ya komputer na kuiba taarifa wanazozitaka lakini pia kwa uchumi wao kukua wanatumia makampuni makubwa ya uwekezaji na hivyo kufika nchi yoyote kama wawekezaji na eakati huo huo wanafanya ujasusi....
NB...ukimtuma jasusi wako chini ya mwamvuli wa mfanyabiashara lazima akifika huko kweli awekeze..so lazima awezeshwe na ainekane anarun biashara...sio mtu anafika anajieleza kama mfanya biashara hakafu akifika huko hakuna biashara,..anaishi maisha ya anasa na haoenekani kufanya kazi..jua halitazama watanshitukia...au anafika huko na utambulisgi wake halafu anaishi makazi duni kazima atashitukiwa...au anaishi eneo la watu wazito lkn ukifika kwake hapaonekani kama nyumbani kwa tycoon wa biashara wenyeji watazua maswali
My cup is still empyt....
mkuu de'levis asante kwa kuzidi kunipa nondo za kutisha kaka, hii elimu ni ngumu sana kupata pahala pengine popote zaidi ya humu JF, kuna mambo mengi sana nilikuwa siyafahamu sasa napata mwanga.........Infantry Soldier Katika kujibu swali lako ni kwamba kila nchi kazima ijue mahitsji yake..inshitaji nini na kutoka wapi na vipi itafanikisha kufika huko...katika hilo zipo njia mahsusi zinazotumika katika kufanikisha hilo..
Lazima waandaliwe watu wa kufanikisha hilo..na ili wakaifanye kazi kwa ukamilifu ni dhalihi maandalizi nayo kazima yawe kabambe kabisa...zipo nchi zinachukua watoto wadogo kabisa na kuwapeleka "shambani" watakaa huko na kutunzwa huko..watafundishwa kila kitu kuhusiana namahitaji...kama target country ni rwanda basi ni lazima watoto hao wafundishwe lugha ya taifa watakalokwenda,lazima wafundishwe tamaduni za huko,lafudhi,itikadi nk...
Wakishakuwa wakubwa wa umri wa kutosha na kwa njia za kijasusi watapenyezwa kwebye target country na ku-infintrate ndani ya serikali au taasisi nyeti..huko watakaa kama sleeper agent huku wakiendelea kukusanya na kuifluence maamuzi yoyote yanayokandamiza nchi yake ya asili...
Sasa kupandikiza mtu wako ndani ya nchi nyingine ni lazima uzingatie yafuatayo..kwanza ni lazima umbadili mtu wako identity yake..lazima ubadilishe jina lake liendane na kule unakotaka kumtuma..
Pili ni lazima umtengenezee cover story ambayo ataitumia akiwa huko kama kujitambulisha yeye ni nani mfano wa cover story ni hii:.
Kuanzia leo jina lako ni juvenali sikambona nyakakurugusi,mama yako ni sofia tibezuka na ulizaliwa kigali mwaka sept 24 mwaka 1990..wakati wa mauaji ya kimbali baba yako alitoroka na kwenda uhamishoni zambia akiwa ni yeye na familia yake.alipofika zambia alianziasha biashara yenye mafanikio makubwa lakini mwaka 2006 machi 21 baba yako alipata ajali na kufa ba hivyo wewe kama kijana wake mkubwa ukaamua kuiendeleza biashara hiyo...mwaka 2010 may 25 mama yako nae alifariki kwa malaria..ukiwa kijana mwenye mafanikio kubiashara umeamua kurudi katika nchi yako ya asili ilu uweze kuendesha biashara zako kwabi sasa kuna amani na umoja...
Hiyo ni mfano wa cover story utakayompa spy akiwa huko makazi mapya..lazima pia ajue tamaduni za huko aendako..lazima ashike ramani ya mji kichwani vizuri..
Ukiwa umejiridhisha kuwa kijana kaiva na yuko tayari kwenda ni lazima atengenezewe passport itakayoendana na utambulisho mpya..
Kwa kuwa katika cover story umemwambia kuwa baba yake alikimbilia zambia basi ni lazima huyu kijana safari yake ya kwenda target contry lazima ianzie zambia..msafirishe kwa mbinu zako mpaka zambia then aende anakokwenda...
Lakini pia kabla hajafika target country kazima afagamiane na wafanya biashara wakubwa na watu wa nchi huyo hata kwa mda wa miaka miwili..lengo ni kuwaaminisha kuwa ni mwenzao ili sku akifika awe na wenyeji
Baada ya hapo sasa unaweza kuruhusu kunguru kuzaliwa kwenye jamii ya njiwa...
Hata watu wazima wanaweza kutengenezwa na kutumwa..lakini kazima ujiridhishe na lugha,utamaduni,itikadi yanchi husika nk vyote avijue pasi kuacha shaka...lakini sambamba na hilo lazima unfanyie psycho-analysis mtu wako..umjue vizuri na kwa kina kabla ya kwenda...
Wachina kwa upande wao jatika hili wamejikita katika technology..wana uwezo mkubwa wa kuingia jatika mifumo ya komputer na kuiba taarifa wanazozitaka lakini pia kwa uchumi wao kukua wanatumia makampuni makubwa ya uwekezaji na hivyo kufika nchi yoyote kama wawekezaji na eakati huo huo wanafanya ujasusi....
NB...ukimtuma jasusi wako chini ya mwamvuli wa mfanyabiashara lazima akifika huko kweli awekeze..so lazima awezeshwe na ainekane anarun biashara...sio mtu anafika anajieleza kama mfanya biashara hakafu akifika huko hakuna biashara,..anaishi maisha ya anasa na haoenekani kufanya kazi..jua halitazama watanshitukia...au anafika huko na utambulisgi wake halafu anaishi makazi duni kazima atashitukiwa...au anaishi eneo la watu wazito lkn ukifika kwake hapaonekani kama nyumbani kwa tycoon wa biashara wenyeji watazua maswali
My cup is still empyt....
Gud drink at allInfantry Soldier Katika kujibu swali lako ni kwamba kila nchi kazima ijue mahitsji yake..inshitaji nini na kutoka wapi na vipi itafanikisha kufika huko...katika hilo zipo njia mahsusi zinazotumika katika kufanikisha hilo..
Lazima waandaliwe watu wa kufanikisha hilo..na ili wakaifanye kazi kwa ukamilifu ni dhalihi maandalizi nayo kazima yawe kabambe kabisa...zipo nchi zinachukua watoto wadogo kabisa na kuwapeleka "shambani" watakaa huko na kutunzwa huko..watafundishwa kila kitu kuhusiana namahitaji...kama target country ni rwanda basi ni lazima watoto hao wafundishwe lugha ya taifa watakalokwenda,lazima wafundishwe tamaduni za huko,lafudhi,itikadi nk...
Wakishakuwa wakubwa wa umri wa kutosha na kwa njia za kijasusi watapenyezwa kwebye target country na ku-infintrate ndani ya serikali au taasisi nyeti..huko watakaa kama sleeper agent huku wakiendelea kukusanya na kuifluence maamuzi yoyote yanayokandamiza nchi yake ya asili...
Sasa kupandikiza mtu wako ndani ya nchi nyingine ni lazima uzingatie yafuatayo..kwanza ni lazima umbadili mtu wako identity yake..lazima ubadilishe jina lake liendane na kule unakotaka kumtuma..
Pili ni lazima umtengenezee cover story ambayo ataitumia akiwa huko kama kujitambulisha yeye ni nani mfano wa cover story ni hii:.
Kuanzia leo jina lako ni juvenali sikambona nyakakurugusi,mama yako ni sofia tibezuka na ulizaliwa kigali mwaka sept 24 mwaka 1990..wakati wa mauaji ya kimbali baba yako alitoroka na kwenda uhamishoni zambia akiwa ni yeye na familia yake.alipofika zambia alianziasha biashara yenye mafanikio makubwa lakini mwaka 2006 machi 21 baba yako alipata ajali na kufa ba hivyo wewe kama kijana wake mkubwa ukaamua kuiendeleza biashara hiyo...mwaka 2010 may 25 mama yako nae alifariki kwa malaria..ukiwa kijana mwenye mafanikio kubiashara umeamua kurudi katika nchi yako ya asili ilu uweze kuendesha biashara zako kwabi sasa kuna amani na umoja...
Hiyo ni mfano wa cover story utakayompa spy akiwa huko makazi mapya..lazima pia ajue tamaduni za huko aendako..lazima ashike ramani ya mji kichwani vizuri..
Ukiwa umejiridhisha kuwa kijana kaiva na yuko tayari kwenda ni lazima atengenezewe passport itakayoendana na utambulisho mpya..
Kwa kuwa katika cover story umemwambia kuwa baba yake alikimbilia zambia basi ni lazima huyu kijana safari yake ya kwenda target contry lazima ianzie zambia..msafirishe kwa mbinu zako mpaka zambia then aende anakokwenda...
Lakini pia kabla hajafika target country kazima afagamiane na wafanya biashara wakubwa na watu wa nchi huyo hata kwa mda wa miaka miwili..lengo ni kuwaaminisha kuwa ni mwenzao ili sku akifika awe na wenyeji
Baada ya hapo sasa unaweza kuruhusu kunguru kuzaliwa kwenye jamii ya njiwa...
Hata watu wazima wanaweza kutengenezwa na kutumwa..lakini kazima ujiridhishe na lugha,utamaduni,itikadi yanchi husika nk vyote avijue pasi kuacha shaka...lakini sambamba na hilo lazima unfanyie psycho-analysis mtu wako..umjue vizuri na kwa kina kabla ya kwenda...
Wachina kwa upande wao jatika hili wamejikita katika technology..wana uwezo mkubwa wa kuingia jatika mifumo ya komputer na kuiba taarifa wanazozitaka lakini pia kwa uchumi wao kukua wanatumia makampuni makubwa ya uwekezaji na hivyo kufika nchi yoyote kama wawekezaji na eakati huo huo wanafanya ujasusi....
NB...ukimtuma jasusi wako chini ya mwamvuli wa mfanyabiashara lazima akifika huko kweli awekeze..so lazima awezeshwe na ainekane anarun biashara...sio mtu anafika anajieleza kama mfanya biashara hakafu akifika huko hakuna biashara,..anaishi maisha ya anasa na haoenekani kufanya kazi..jua halitazama watanshitukia...au anafika huko na utambulisgi wake halafu anaishi makazi duni kazima atashitukiwa...au anaishi eneo la watu wazito lkn ukifika kwake hapaonekani kama nyumbani kwa tycoon wa biashara wenyeji watazua maswali
My cup is still empyt....
Kuna njia mara nyingi ambayo imejaadiliwa humu amkuu de'levis, kuna kitu katika idara za ujasusi huwa wanaitwa front companies, kampuni zinazozuga kufanya biashara halali ilhali kazi yao kubwa huwa ni ku-conduct espionage business in various highly clandestine means.
hili suala la idara za ujasusi kama mossad ama ile ya china kumiliki hizi front companies ndio umelitolea ufafanuzi mkubwa sana from your previous comment/reply kwenye huu uzi ya kwamba ndio hutumika kama kampuni za uwekezaji kutoka nje kumbe wanakuwa na agenda zao za siri.
tukija katika scenario ya korea kaskazini kwa sasa, sidhani kama kuna kampuni yoyote ya kimarekani ama kiingereza inayoendesha shughuli zake pyongyang ama pahala popote pale ndani ya north korea na sidhani vile vile kama China kama mshirika mkubwa na wa karibu wa serikali ya North Korea (N.K) itakuwa radhi kushirikiana katika ujasusi na nchi za magharibi katika ku-undermine huyo jirani yake.
sasa mkuu de'levis unadhani marekani wanaweza kutumia mbinu gani ya ujasusi wa kibinadamu (human intelligence) kwa taifa korofi kama N.K ukiachilia mbali satellite surveillance and other highly advanced technological maneuvers???!!!!!!!!!!!!!!
Do you know the motivation of spy?Practically there is no difference between a spy and a pickpocket. Their only difference is that one is interested with soft material and the other with hard materials but they are all made