Are spies made or born?

Vetting ni gharama lkn itapunguza gharama ukikaa nao wakiwa jkt kwa miaka yote miwili
Wakat wanamaliza majina yasomwe wewe unaadhabu hutamaliza sasa utaendelea miez nane wasioteliwa warudi uraian
Watazame kwa mwezi mmoja ukiwa kazi nyingi kama wamefika jana utagundua nurtured attributes
Ukiwq na file la mmienendo yao ya miaka miwili na la miez miwili ya adhabu
Utagundua tu huku ukitumia watu kupata taarifa us shulen na kwao kaz imeisha

Wanausalama wa tz na wajeda wengi zaman walitoka jkt kwa vetting ya hivyo achana ya kumfatilia mtu utahangaika Kwan wengine wanna maisha ya kuigiza dairy
 
Vetting ni gharama lkn itapunguza gharama ukikaa nao wakiwa jkt kwa miaka yote miwili
Wakat wanamaliza majina yasomwe wewe unaadhabu hutamaliza sasa utaendelea miez nane wasioteliwa warudi uraian
Watazame kwa mwezi mmoja ukiwa kazi nyingi kama wamefika jana utagundua nurtured attributes
Ukiwq na file la mmienendo yao ya miaka miwili na la miez miwili ya adhabu
Utagundua tu huku ukitumia watu kupata taarifa us shulen na kwao kaz imeisha

Wanausalama wa tz na wajeda wengi zaman walitoka jkt kwa vetting ya hivyo achana ya kumfatilia mtu utahangaika Kwan wengine wanna maisha ya kuigiza dairy
Japokuwa hiyo njia ni nzuri, lakini nadhani wananjia nyingi nzuri zaidi ya hiyo
 
..polisi wana utaratibu wao wa ajira..na wso wanapaswa kutafuta watu makini...shida moja kubwa ni rushwa..kuna mbinu chafu wanazitumia katika kuwapata watu sahihi...hili kiko maeneo mengi ya nchi na katik sekta nyingi...polisi wengi hawana weledi wa kazi...kuna mapendekezo yametolewa kama yakifanyiwa kazi tegemea mabadiliko makibwa katik jeshi la polisi...
Kumpata mtu sahihi kwa kazi flani kuna garama zake sasa wahusika wanatanguliza mbele maslaho yao binafsi na hivyo kupata watu wasiofaa kwa kiasi kikubwa...
Jeshi la polis ni sekta inayojihusisha na rushwa kuliko sekta yoyote tanzania...
kaka, ufafanuzi kidogo sana hapo kwenye BOLD tafadhali
 
Kuna series inaitwa The American..ukifuatilia hii series inaonyesha spies are born and made...first their IQ are high also they want to save the world wakiwa wadogo kabisa ..so wakikuona hivyo wanakuchukua na kukuendeleza...km unataka kujua hayo mambo watch that series.
Thank you
 
..polisi wana utaratibu wao wa ajira..na wso wanapaswa kutafuta watu makini...shida moja kubwa ni rushwa..kuna mbinu chafu wanazitumia katika kuwapata watu sahihi...hili kiko maeneo mengi ya nchi na katik sekta nyingi...polisi wengi hawana weledi wa kazi...kuna mapendekezo yametolewa kama yakifanyiwa kazi tegemea mabadiliko makibwa katik jeshi la polisi...
Kumpata mtu sahihi kwa kazi flani kuna garama zake sasa wahusika wanatanguliza mbele maslaho yao binafsi na hivyo kupata watu wasiofaa kwa kiasi kikubwa...
Jeshi la polis ni sekta inayojihusisha na rushwa kuliko sekta yoyote tanzania...
mkuu de'levis naomba msaada kwa haya:

(1) inawezekana kwa mfano mossad ama CIA wakawa na recruitment school ndani ya nchi adui kama Iran pasipo idara za usalama za Iran kujua?

(2) pia, jaribio la mapinduzi ya kijeshi huko Turkey linaweza kuwa termed as "intelligence failure" i.e. kushindwa kwa idara ya ujasusi za Uturuki kuweza kunusa harufu za njama zozote za kupanga mapinduzi?
 
mkuu de'levis naomba msaada kwa haya:

(1) inawezekana kwa mfano mossad ama CIA wakawa na recruitment school ndani ya nchi adui kama Iran pasipo idara za usalama za Iran kujua?

(2) pia, jaribio la mapinduzi ya kijeshi huko Turkey linaweza kuwa termed as "intelligence failure"?

Najaribu la pili Kwa sababu daima intelligence ni sensentation the way you think and draw a realistic conclusion

Turkey's failure coup detat ni suala ambalo lilikuw chini ya ulinzi wa askar daima mapinduz yanajulikana na ngazi ya juu ya wqnajeshi ambapo hutumiq military calls to link information ambazo daima hacking ni ngumu na wataalamu wa mawasiliano jeshin kama Turkey unaona ndio njia iliyotumika hata kama n via the traditional ways

Intelligence failure tungeipima endapo wangeteka ikulu au sehemu ya nchi Kwa sababu mtoa taarifa hakuwa makin

Nasema hivyo Kwa sababu
Coup ya Turkey ilitaka kulihusisha jeshi zima hivyo hilo lilishindikana na ndio maana hao ambao hawakuafiki waliupinga pia
Hoja ya marekan unataka kuihusisha na Turkey Kwa sababu ambao hawakuafiki walitoa pia taarifa kuwa marekan itakiwa nyuma yao ili kusolve economic issues ambazo realistic ndio sababu ya mapinduz hayo sio intelligence failure Kwa sababu kila kitu ndani ya jeshi kilijulikana ila hawakujua tarehe ila walijiandaa

Marekan hakushiriki ila aliwaaproach
 
Najaribu la pili Kwa sababu daima intelligence ni sensentation the way you think and draw a realistic conclusion

Turkey's failure coup detat ni suala ambalo lilikuw chini ya ulinzi wa askar daima mapinduz yanajulikana na ngazi ya juu ya wqnajeshi ambapo hutumiq military calls to link information ambazo daima hacking ni ngumu na wataalamu wa mawasiliano jeshin kama Turkey unaona ndio njia iliyotumika hata kama n via the traditional ways

Intelligence failure tungeipima endapo wangeteka ikulu au sehemu ya nchi Kwa sababu mtoa taarifa hakuwa makin

Nasema hivyo Kwa sababu
Coup ya Turkey ilitaka kulihusisha jeshi zima hivyo hilo lilishindikana na ndio maana hao ambao hawakuafiki waliupinga pia
Hoja ya marekan unataka kuihusisha na Turkey Kwa sababu ambao hawakuafiki walitoa pia taarifa kuwa marekan itakiwa nyuma yao ili kusolve economic issues ambazo realistic ndio sababu ya mapinduz hayo sio intelligence failure Kwa sababu kila kitu ndani ya jeshi kilijulikana ila hawakujua tarehe ila walijiandaa

Marekan hakushiriki ila aliwaaproach
mkuu Ramark inawezekana vipi idara ya ujasusi wa kijeshi ya Uturuki failed to sniff around, smoke out and foil the coup plot. kazi ya intelligence apparatus ni kujua mambo hata kabla hayajatokea ili kutoa uwezo kwa law enforcement kuweza kukamata wa husika na kuwaweka panapohusika. now, what went wrong with this Turkish scenario?

ama tuseme ni mbinu tu za bwana Recep Tayyip Erdoğan kutaka kumaliza wapinzani wake kwa kuwauzia kesi ya kufanya mapinduzi na yeye kuweza kujiimarisha madarakani kwa kupata sympathizers wengi?
 
Kiundan nchi ilikuwa vipande hivyo anataka aiunganishe nassikia jana kawafunga polis 8000,
Taarifa zote wanazo na ndio maana ikulu na jeshi limeweza kuwadhibiti waasi zaid ya 1000
Daima ujasus haukai pweke kweny tawala tata kama hizi
Uplan your way people prepare your grave and a way of burying everything
Bila Gud gathering of ii wasingefanikiwa hivi bali kuna mangufu madogo kama nice
 
you are right...kuna maneno mwalimu wetu aliwahi kutwambia na na aliyapenda sana alikuwa akisema hivi '' when you control your thoughts you controlyour mind, when you control your mind you control your life, once you reach a stage of being in total control of your life you become the master of your own destine...umakini katika jambo lolote ni kitu cha muhimu sana...huko mwanzo nadhan page 4 ya mada hii nilisema hakuna anayezaliwa na kufiti kweye kazi flani pasipo kupitia mafunzo yoyote....

wakati tuko vijana mzee wetu alipenda ktufindisha vitu vingi sana wakati ule tuliona kama havifai hivi....mtaa tuliokuwa tukikaa ilikuwa ni maeneo ya watu wenye nafasi zao za kutosha nk..mzee wetu alikuwa akitwambia mimi na mdogo wangu ..siku moj akasema nataka mniambie ndani a ile nyumba ya tatu kuna watu wangapi wanaishi mle na mkadirie na umri nawapa wiki nzima...sasa ndani ya wiki moja tulikuwa tuna kazi hiyo ya kujua na alitwambia sitaki mwende pale mkaonekana na mkaulize haya niliyowambia tumieni akili zenu kujua ....

basi kwa kuwa ilikuwa ni kazi ilibidi tufanye..kufanyika kwake ilikuwa ni kuangalia hasa wakati wakifua nguo wakianika...zile nguo tuliweza kuziangalia na kuelewa ni nguo za aina gani...za watoto tulizona..za watu wazima tuliziona ...za watoto wa kike au kiume tulziona na pia a watu wazima...njia hii ilitusaidia kujua nyumba ile ina watu wangapi...na wa jinsia ipi....lakini pia tulikuwa tukienda kwenye pipa la kutupia taka kabla ya wahusika hawajaja kuchukua uchafu ule...tulikuwa tuna akusanya vijikaratasi..na hapa napenda niseme wazi kabisa watu wengi hawalijui hili hata huko maofisini..unakuta mtu karatasi ina bonge la siri anachofanya ni kuifinyanga finyanga kwa kiganja kisha aantupa kwenye dustbin...sasa sisi tuliweza kutumia njia hiyo ya kwenda kwenye ma dustbin na kuangalia vikaratas karatasi, chupa, mifuko , karatasi za benk (pay slip) nk .. na hvyo tulijua mtu flani anapenda kutumia kinywaji gani, ananunua wapi, benk ya yake ni ipi, na mambo mengine kama hayo...

yote hii ni kutaka kujua watu wanaokuzunguka ni wa aina gani na hivyo uishi nao vipi...yako mazoezi mengi sana hata tulipokwenda ''shambani ''meng tulifundishwa namna ya kumjua mtu hata kama hujawahi kumuona...namna ya kuangalia hata mwandiko na aina ya uandishi wa mtu na ..mwandiko ni njia moja wapo ya kujua tabia ya mtu....humu jf kwa kuwa hatuandiki kwa wino lakini unaweza kujua character ya mtu kutokana na uandishi wake...kwa mfano The Boss hawezi akaandika kama anavyoandika@lara 1..au anavyoandika Pasco ana tofauti kubwa na hao wengine ukifatilia michango yao yote na aina ya andishi wao waweza kujua ni watu wa aina gani...

jambo la msingi hapa ni kuelewa na kujielewa na kuwa makini kwa kila jambo...nguvu ya umakini ni muhimu sana...ni lazima utengenezwe kuwa spy nje ya hapo ni ngumu kufanikisha kazi kujitengeneza mwenyewe ni ngumu sana..

de'levis;
Ebu naomba ujaribu kupitia posts zangu halafu uniambie mimi nikoje.
Natanguliza shukrani zangu
Makanyaga
 
NB: mwambieni Invisible auweke uzii huu sticky maana kuna mda nautafuta siupati
de'levis;
Kutafuta uzi kirahisi fanya hivi:
Click kwenye profile yako (kwenye avatar yako), halafu kuna link utaiona inasema "show all posts by de'levis" au inasema "show all RECENTposts by de'levis" . Threads zote ulizochangia utaziona hapo. By the way, just out of curiosity, how old are you? 60+ may be?
 
mkuu de'levis naomba msaada kwa haya:

(1) inawezekana kwa mfano mossad ama CIA wakawa na recruitment school ndani ya nchi adui kama Iran pasipo idara za usalama za Iran kujua?
Mossad ama CIA wanaweza kuwa na mbinu nyingi sana za kuweza kufunza majasusi wao ndani ya nchi hasimu/adui kama kitengo cha counterintelligence cha nchi husika hakiko imara na spy catchers wamelala ama kuzidiwa mbinu za kazi, ila kwa nchi kama Iran kutokana na kuandamwa na maadui wengi kutoka nchi za magharibi pamoja na baadhi ya nchi jirani za kiarabu, hawa jamaa wapo macho 24/7, hivyo sidhani kama itakuwa rahisi aidha wa Israel ama marekani kujaribu kufanya kitu cha namna hiyo
nimejaribu kidogo
 
Mossad ama CIA wanaweza kuwa na mbinu nyingi sana za kuweza kufunza majasusi wao ndani ya nchi hasimu/adui kama kitengo cha counterintelligence cha nchi husika hakiko imara na spy catchers wamelala ama kuzidiwa mbinu za kazi, ila kwa nchi kama Iran kutokana na kuandamwa na maadui wengi kutoka nchi za magharibi pamoja na baadhi ya nchi jirani za kiarabu, hawa jamaa wapo macho 24/7, hivyo sidhani kama itakuwa rahisi aidha wa Israel ama marekani kujaribu kufanya kitu cha namna hiyo
nimejaribu kidogo
umejitahidi kufafanua kadri ya uwezo wako lakini maelezo yamesimama na yanaeleweka vizuri
 
mkuu, sasa kwa tanzania hii hao wenye IQ kubwa tutawatoa wapi kwa mfumo wetu huu wa elimu???
sidhani kama I.Q kubwa huletwa na mfumo bora wa elimu katika nchi husika, bali I.Q ya mtu ni kitu ambacho binadamu huzaliwa nacho (genetic makeup) plus mazingira anayokulia yakimzunguka huchochea ukuaji wa uwezo mkubwa wa kufikiri, pia mnaweza kunisahihisha
 
Tanzania hakuna Intelligence agency. Hawa TIIS ni watu wafitina tu. Bora mara 100 Directorate of Military Intelligence (DMI) hawa wanafanyakazi haswa. Lakini TIS wamebaki watu wa kuweka fitina tu.
kungekuwa hakuna intelligence apparatus hapa tanzania sidhana kama ungekuwa na muda ama utulivu wa kuweza kukaa na kuandika haya unayoandika hapa.

TISS are too smart to disguise the way they operate and do their things to the extent kwamba mtu kama wewe huwezi kujua kama wapo na wanafanya kazi. nevertheless, they are as humans as you and i, so errors and miscalculations are inevitably there.
 
36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom