Ramark
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,989
- 1,440
Vetting ni gharama lkn itapunguza gharama ukikaa nao wakiwa jkt kwa miaka yote miwili
Wakat wanamaliza majina yasomwe wewe unaadhabu hutamaliza sasa utaendelea miez nane wasioteliwa warudi uraian
Watazame kwa mwezi mmoja ukiwa kazi nyingi kama wamefika jana utagundua nurtured attributes
Ukiwq na file la mmienendo yao ya miaka miwili na la miez miwili ya adhabu
Utagundua tu huku ukitumia watu kupata taarifa us shulen na kwao kaz imeisha
Wanausalama wa tz na wajeda wengi zaman walitoka jkt kwa vetting ya hivyo achana ya kumfatilia mtu utahangaika Kwan wengine wanna maisha ya kuigiza dairy
Wakat wanamaliza majina yasomwe wewe unaadhabu hutamaliza sasa utaendelea miez nane wasioteliwa warudi uraian
Watazame kwa mwezi mmoja ukiwa kazi nyingi kama wamefika jana utagundua nurtured attributes
Ukiwq na file la mmienendo yao ya miaka miwili na la miez miwili ya adhabu
Utagundua tu huku ukitumia watu kupata taarifa us shulen na kwao kaz imeisha
Wanausalama wa tz na wajeda wengi zaman walitoka jkt kwa vetting ya hivyo achana ya kumfatilia mtu utahangaika Kwan wengine wanna maisha ya kuigiza dairy