tartoo
Senior Member
- Jul 2, 2010
- 129
- 2
Nimebakia kucheka tu.. nimewahi kudokeza hapa kuwa Tanzanian economy is an "artifical economy" watu hawajaelewa kwanini... mtu hata asiye mchumi anaweza kuona kutokupatana (contradiction) kati ya mahesabu mbalimbali. Ili CCM inachotaka ndicho inachopata.
Mwanakijiji,
I said something along the same lines. Huwezi kuwa na sound economic data kama nchi haina utamaduni wa record keeping.
Hata hizi bajeti ni michezo ya kuigiza. We nchi some sectors informal economy ni kubwa kuliko formal economy utategemeaje kuwa na sound economic indicators? We nchi huna a standard price for a basket of goods, how can you measure inflation?
Hata ukiwasikiliza mawaziri wa fedha wetu, from Daniel Yona to Mustapha Mkullo, unaona kabisa wanacheza mchezo wa kuigiza na hata wao wenyewe hawaziamini hizi bajeti zetu.
Mzee mwanakijiji inawezekana wako sahihi au inawezekana wako sio sahihi but unajua tatizo la nchi yetu bwana ni wanasiasa.
Tukiomba data za figure wanazozisema hatupewi sasa binafsi nakuwa na shaka na statement zao. Kama unakumbuka nyuma nilisema kuwa ile statement ya mkulo ya kuwa uchumi utakuwa by 7.5 ilikuwa sio sahihi kwa factors mbali mbali na figure zangu zikawa sawa na IMF kuwa uchumi wetu utakuwa 4.5%. Sasa hivi wanasema uchumi utakuwa by 6.2%. Mie nachosema either 7.5% or 6.0% or 8.0% la msingi tunaomba data!!!
Kiranga... tatizo la hawa jamaa ni kuwa wanajua record keeping vizuri tu tena kuna wanakusanya vizuri tu; tatizo ni kuwa hizo takwimu wanazokusanya hazina msingi katika ukweli. Wewe tembelea tovuti yao ya Welcome to the NBS Website. Takwimu zao zaidi ni kwa ajili ya consumption ya watu wa nje ambao wanaangalia makaratasi na kuyasoma na kuamini mahitimisho yake.
tatizo ni kuwa data wanazo na watakupa.. kwa data tu hawana tatizo believe me..! Its as if they have a National Data Mill somewhere..
tatizo ni kuwa data wanazo na watakupa.. kwa data tu hawana tatizo believe me..! Its as if they have a National Data Mill somewhere..
tatizo ni kuwa data wanazo na watakupa.. kwa data tu hawana tatizo believe me..! Its as if they have a National Data Mill somewhere..