figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Mia
utakuwa ulimfundisha wewe
hahahaaaaa....!!!. Mia
Mbona niliona familia moja ya mtoto mmoja ambaye mtoto alikuwa na umri wa mwaka mmoja huko mkoa wa kati Tanzania baba na mama walikuwa wakimnywesha bia, nilishtuka sana, lakini waliniambia wamemzoesha na ameshazoea kugida bia kisha hulala fofofo, mambo haya jamani, kama maraha kwani nini tumharibie mtot nerves zake angali mchanga?
[video]http://www.nationalturk.com/en/2-year-old-indonesian-boy-cuts-down-smoking-to-15-cigarettes-547244564[/video]
Si ndiyo huyu dogo?
Atavuna anachopanda bila shaka!
Mbona niliona familia moja ya mtoto mmoja ambaye mtoto alikuwa na umri wa mwaka mmoja huko mkoa wa kati Tanzania baba na mama walikuwa wakimnywesha bia, nilishtuka sana, lakini waliniambia wamemzoesha na ameshazoea kugida bia kisha hulala fofofo, mambo haya jamani, kama maraha kwani nini tumharibie mtot nerves zake angali mchanga?