654
Senior Member
- Feb 1, 2012
- 172
- 40
Wakuu,
Kuna hili liliwahi Kusemwa hebu tulijadili kwa kutukumbusha wajibu wetu na Mstakabali wa Tanganyika:
"Katika nchi yetu, ambayo Waafrika ni maskini na wageni ni matajiri, kuna uwezekano mkubwa kwamba Mwafrika akiruhusiwa kuiuza ardhi, katika miaka themanini au miaka ijayo, ardhi yote ya Tanganyika itamilikiwa na marajiri wageni na wenyeji watakuwa watwana. Lakini hata kama wageni wasingekuwa matajiri, litaibuka tabaka la watanganyhika matajiri wajanja. Tukiruhusu ardhi iuzwe kama kanzu, katika muda mchache, kutakuwa na kundi dogo la waafrika wakiwa na ardhi na walio wengi watakuwa watwana" (Mwalim. Julius K. Nyerere, 1958)
Kuna hili liliwahi Kusemwa hebu tulijadili kwa kutukumbusha wajibu wetu na Mstakabali wa Tanganyika:
"Katika nchi yetu, ambayo Waafrika ni maskini na wageni ni matajiri, kuna uwezekano mkubwa kwamba Mwafrika akiruhusiwa kuiuza ardhi, katika miaka themanini au miaka ijayo, ardhi yote ya Tanganyika itamilikiwa na marajiri wageni na wenyeji watakuwa watwana. Lakini hata kama wageni wasingekuwa matajiri, litaibuka tabaka la watanganyhika matajiri wajanja. Tukiruhusu ardhi iuzwe kama kanzu, katika muda mchache, kutakuwa na kundi dogo la waafrika wakiwa na ardhi na walio wengi watakuwa watwana" (Mwalim. Julius K. Nyerere, 1958)