Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,185
- 79,366
Wana-JF,
Nataka kufahamu ile ardhi ya chuo cha IFM iliyogawiwa kwa waadhirika wa mafuriko Jangwani, itarudi vp? Je maadili yalitumika katika kumshauri Mh Rais? Na je Rais ametumia mamlaka yake sawa? je ardhi ya institution (educational) inaweza kugawiwa kirahisi namna hiyo? Inamaana katika kufikiria kwake koote alikosa jawabu la ardhi kwa wakazi hawa...ila tu ile ardhi iliyopaswa kutumika kupanua chuo cha IFM ambacho kingenufaisha maelfu ya wanafunzi woote wa Kitanzania? Kwa jinsi mambo yanavyoenda sishangai chuo kikaenda kujengwa Msoga maana kwa sasa kila kitu ni mwendo wa mitaa hiyo tu! Kwanini hawa jamaa wa Jangwani wasipelekwe huko Msoga instead? Tukumbuke Maamuzi hovyohovyo husababisha mipango ya maendeleo kwenda hovyohovyo pia!
NB: Ninahuzunishwa na yaliyowapata ndugu zetu wa Jangwani ukizingatia serikali imekuwa ikikaa kimya na kuacha watu wajenge mabondeni bila kuchukua hatua, mwenyezi Mungu azilaze pema roho za Marehemu wote
Nataka kufahamu ile ardhi ya chuo cha IFM iliyogawiwa kwa waadhirika wa mafuriko Jangwani, itarudi vp? Je maadili yalitumika katika kumshauri Mh Rais? Na je Rais ametumia mamlaka yake sawa? je ardhi ya institution (educational) inaweza kugawiwa kirahisi namna hiyo? Inamaana katika kufikiria kwake koote alikosa jawabu la ardhi kwa wakazi hawa...ila tu ile ardhi iliyopaswa kutumika kupanua chuo cha IFM ambacho kingenufaisha maelfu ya wanafunzi woote wa Kitanzania? Kwa jinsi mambo yanavyoenda sishangai chuo kikaenda kujengwa Msoga maana kwa sasa kila kitu ni mwendo wa mitaa hiyo tu! Kwanini hawa jamaa wa Jangwani wasipelekwe huko Msoga instead? Tukumbuke Maamuzi hovyohovyo husababisha mipango ya maendeleo kwenda hovyohovyo pia!
NB: Ninahuzunishwa na yaliyowapata ndugu zetu wa Jangwani ukizingatia serikali imekuwa ikikaa kimya na kuacha watu wajenge mabondeni bila kuchukua hatua, mwenyezi Mungu azilaze pema roho za Marehemu wote