MADAI
Member
- Sep 7, 2009
- 11
- 1
Chuo kikuu Cha Ardhi bado hawajatoa vyeti vya "GRADUATES" Wahitimu wa kuanzia mwaka 2007 na kuendelea.
Nimesikia kuna mgogoro kati yake na chuo kikuu cha Dar Es Salaam.
Mimi ni mhanga mmoja wapo nimefuatilia kupewa cheti lakini sijafanikiwa , wanasema Wanashughulikia.
Wahitimu hawana vyeti.
Kuna mtu mwenye TAARIFA kwa UNDANI
Nimesikia kuna mgogoro kati yake na chuo kikuu cha Dar Es Salaam.
Mimi ni mhanga mmoja wapo nimefuatilia kupewa cheti lakini sijafanikiwa , wanasema Wanashughulikia.
Wahitimu hawana vyeti.
Kuna mtu mwenye TAARIFA kwa UNDANI