Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Baelezee hao wapenda dezo.....:sleepy:TAHADHARI...Hilo eneo la GAMA lina mgogoro hadi sasa...in fact mni eneo la hifadhi ya Taifa ya SAADANI KISHERIA. Kuna watu walishalipwa fidia zao hapo, wakaondoka, sema wamekuja wengine ndo wanatumia loop hole ya mambo ya uchaguzi kuwauzia wengine
ila kimsingi hilo eneo ni 'kimeo' na mtu yeyite anayejifanya kununua, basi ajua anajitia kitanzini
Jingine, kuna mwenye habari za uhakika kuwa SEKAB wameondoka? manake unaweza kujikuta umeuziwa eneo la RAZABA ambalo ndo wamemilikishwa SEKAB kwa mujibu wa nemzalendo!
tusipende vitu vya chee ivo