steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,430
- 10,052
aaaah,wabongo now fikirieni kujiajiri,graduates kitaa ni wengi mno na waajiri ni wachache sana bila kufanya hv tutapata shida sana kwani hata mkiandamana serikali nayo haiwezi kuajiri wote kwani hata mishahara inachelewa kuonyesha kwamba haina fedha za kutosha,muwe wajasiriamali tu jamani