Ndugu zangu na masikini wenzangu ambao hatuna mtu tunayemjua katika kipindi hiki kigumu cha kupata kazi ili atusaidie kupata kazi tuna wakati mgumu sana wa kufanikiwa.
Mimi ni mmoja ya watu walioiywa kwenye aptitude test kesho IFM lakini nimesikitishwa sana nilipopata taarifa kuwa test hiyo tutakayoifanya kesho watu wanayo toka jana na imesambaa sana hasa hapa dar.
Ombi langu kwa wale mliopata acheni ubinafsi tuwekeeni walae maswali mawili matatu hapa jamvini angalau na sisi masikini tupate hizo na nyingine tutamuachia referee wetu ambae ni MUNGU
Mimi ni mmoja ya watu walioiywa kwenye aptitude test kesho IFM lakini nimesikitishwa sana nilipopata taarifa kuwa test hiyo tutakayoifanya kesho watu wanayo toka jana na imesambaa sana hasa hapa dar.
Ombi langu kwa wale mliopata acheni ubinafsi tuwekeeni walae maswali mawili matatu hapa jamvini angalau na sisi masikini tupate hizo na nyingine tutamuachia referee wetu ambae ni MUNGU