Na sasa hivi wageni maadui gani wamejipenyeza?
Kama hakuna unajuaje ni wabovu?
Na sasa hivi wageni maadui gani wamejipenyeza?
Kama hakuna unajuaje ni wabovu?
kweli hili swali umelifikiria au umeuliza tu alimradi uulize? Nikupe mifano ya wageni waliokuja na kuingia hadi chumbani na kuondoka na vito vyetu vya thamani huku walinzi wakiwa nje wanacheza bao?
....eeenh, ilikuwa enzi ya cold war!! je hao CIA tuliwadhibiti peke yetu?? tuwe wakweli hapa.
....eeenh, ilikuwa enzi ya cold war!! je hao CIA tuliwadhibiti peke yetu?? tuwe wakweli hapa.
Hivi kuna mtu humu anaamini Apson atafanya la maana pale ili twende mbele? the guy has been there forever na mawazo yake ya old Soviet union,mambo mengine ni kujitakia tuu kuwapa kazi watu kama hawa.
that's obvious.....Soviet Union, Cuba, China na karibu eastern block yote ilikuwa inashare intel na sisi juu ya hao CIA na Makaburu!! hivi wataka kusema kwamba tuliweza hayo yoooote peke yetu wakati wa kilaza Mlawa??
sasa kama tulikuwa tunashirikiana na vyombo vyote hivyo enzi hizo leo imekuwaje kiasi kwamba CIA wameshindwa kutuambia kuwa Richmond ni kampuni ya Kitapeli na MI5 na MI6 wameshindwa kutuambia tumelanguliwa rada? Ni lini tulianza kukosa ushirikiano toka vyombo hivyo vingine...
** Bi mdogo asante.
hakuna mikataba mikubwa tuliyoingia! Au wewe useme ni mkataba gani mkubwa wa nishati au madini tulioingia kabla ya hawa jamaa..?.......nani kasema tulikuwa tunapata msaada wa CIA na hao M15/16??! nilikuwa najibu msaada tuliopata kuzuia hao CIA na makaburu(kama ambavyo Icadon alivyokuwa kauliza/kasema)!!...na si vinginevyo(unaweka maneno kwenye vidole vyangu)!
....husomi ninacho andika!! ni wewe na mawazo yako, bila kusoma/kuelewa ya wengine.
....niambie wewe basi, kabla ya Apson ni mikataba mingapi bogus ilozuiwa na taasisi hii??.
Mwanakijiji,
Kwenye hili, hata tungeambiwa, je tungewasikiliza? Hao hao waliotakiwa kuambiwa ndio walikuwa wanafaidika na huo ufisadi.
Waliambiwa ya EPA, je kuna kitu walifanya?
Kama la Richmond, watu walisema mapema sana, lakini serikali haikutaka kusikiliza na matokeo yake Watanzania karibu wote wanaumia kutokana na kupanda sana kwa umeme.
that's obvious.....ilikuwa inashare intel na sisi juu ya hao CIA na Makaburu!! hivi wataka kusema kwamba tuliweza hayo yoooote peke yetu wakati wa kilaza Mlawa??Soviet Union, Cuba, China na karibu eastern block yote
....sasa hatukuingia kwasababu gani? juu kwamba walijua ni mibovu wakaitolea mbavuni au sera za wakati huo(ujamaa wa njozi) zilikuwa haziruhusu makampuni binafsi kuendesha huduma hizo!!? kama la pili ndio jibu lako, sasa utajuaje kwamba walikuwa fit wakati deals hazikuwepo?? acha utani bwana....
...acha utani wewe, hiyo ni kwasababu ya siasa za wakati huo na si ati kwamba tulikuwa makini!!! kama tulikuwa makini kwanini hao watu wa intel hawakujua mapema kwamba ujamaa wa njozi wa marhumu utafeli?? au nae alimbiwa akawa haambiliki kama kawaida yake?..kila mtu alipingwa mshangao soviet ilipomomonyoka, tukabaki pekeyetu kama Titanic kwenye cold waterz za Atlantic!!! halafu unashangaa kwanini hawa wa leo nao hawaambiliki.......watoto huiga baba, uozo ni ule ule sema tu nyakati ndio tofauti!!!.