Mzozo wa Mizozo
JF-Expert Member
- May 26, 2008
- 426
- 12
Nimewasiliana na wakuu wanaonekana kutojua kinachoendelea... Naelezwa bado mabomu yanalipuka tu
So far mpaka sasa yamelipuka kama kumi kadhaa...wamewapeleka kina nani huko?
Nimewasiliana na wakuu wanaonekana kutojua kinachoendelea... Naelezwa bado mabomu yanalipuka tu
tutajua muda si mrefu ujao ... limepiga jingine sasa hivi
Maweee TWAFWA..... bado inaendelea DHARAU KUBWA hawatoi taarifa????Ni mlipuko wa BP kurasini. Umetokea mwingine sasa hivi
Hapana, nimeelezwa milipuko hiyo inayosababisha moshi mkubwa hewani ipo maeneo ya Mbagala ilipo ghala ya silaha za Jeshi.Sasa huyu anaesema ni mlipuko wa matanki ya BP Kurasini na hapo hapo twaambiwa ni Mbagala ana maanisha nini? tushaanza potosha habari jama?!
tetesi zinadai hii imeokea kwa bahati mbaya ..si kitu cha kupanga hivyo isingewezekana kutoa taarifa kabla! maofisi mengi naona hayakaliki watu wako njee huku msasaniMaweee TWAFWA..... bado inaendelea DHARAU KUBWA hawatoi taarifa????
Naambiwa kuna gari lilikuwa limebeba mabomu likapinduka maeneo ya gongo la mboto waliko maeneo hayo watupe ukweli...Hii milipuko ni ya makusudi au ndiyo tumevamiwa?
Kazi ipo, juzi juzi gari lilikuwa limebeba mabomu lilipofika uwanja wa ndege liliwaka MOTO, lilipelekwa mbio mbio kwenye kambi, TULITEGEMEA MILIPUKO kumbe Mungu alikuwa upande wetu.Clouds FM Wametoa breaking news wamesema ni jengo lililokuwa na silaha za kijeshi huko mbagala ndilo limelipuka