Root simu kisha weka app kama app to sd au system app remover ina hyo optionWakuu nashindwa kuhamisha app nikijaribu inaniambia not enougj space wakati nina 16gb internal na 16 GB sd card.
Msaada tafadhali
mkuu samsung bado hawajaieka hii feature kwenye rom zao za touchwiz lakini ipo ndani ya marshmallow hivyo utahitaji pc na usb cable na software ya adb kueka hio memory card kama internal memory.Mkuu mkwawa tayari ipo marshmallow nafanyaje hiyo adaptive storage?
Simu yangu ni S5 900f
Mkuu hiyo hapo chini nahisi ni class 10.mkuu samsung bado hawajaieka hii feature kwenye rom zao za touchwiz lakini ipo ndani ya marshmallow hivyo utahitaji pc na usb cable na software ya adb kueka hio memory card kama internal memory.
ila jambo moja muhimu hio sd card ni class ngapi? kama ni slow tegemea simu yako iwe slow sana
yaah hio ni nzuri tena sana tu, sababu pia ina hio alama kama ya U na 1 ndani yake inamaana ni UHS 1, sema still huwezi linganisha na internal storage, hivyo usitegemee speed kivile.Mkuu hiyo hapo chini nahisi ni class 10.
View attachment 423466
yaah hio ni nzuri tena sana tu, sababu pia ina hio alama kama ya U na 1 ndani yake inamaana ni UHS 1, sema still huwezi linganisha na internal storage, hivyo usitegemee speed kivile.
angalia hii video inaonesha hio njia
link ya kudownload fastboot na driver pamoja na tutorial ya maneno
How to Convert MicroSD into Internal Storage for Galaxy S7 & S7 Edge! [Adoptable Storage] | HighOnAndroid.com