Person Of Interest
Member
- Sep 15, 2012
- 9
- 0
Mineral Resources Institute(MRI) ikisaidiwa na Wizara ya Nishati na Madini imetoa nafasi za masomo kwa wanaotaka kusoma kozi ngazi ya stashada yani Diploma in Petroleum Geosciences na Environmental Engineering and Management in Mines.
Fomu za maombi zinapatikana makao makuu ya wizara ya nishati na madini pia kwenye tovuti www.mri.ac.tz mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 21/09/2012.Maelezo zaidi yapo kwenye tovuti na gazeti la Mwananchi la tarehe 14/09/2012.
KILA LA HERI!!!
Fomu za maombi zinapatikana makao makuu ya wizara ya nishati na madini pia kwenye tovuti www.mri.ac.tz mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 21/09/2012.Maelezo zaidi yapo kwenye tovuti na gazeti la Mwananchi la tarehe 14/09/2012.
KILA LA HERI!!!