mbona unaharibu biashara ya mwenzako unatuchanganya sisi wanunuzi, si uanzishe thread yako uuze hizo za dola 900 tuzione[/QUOTE
Really!, umechanganywa na kitu gani. Nimekupa choices, and business is all about choices. Unachonganyikiwaa ni nini, I mean umechanganyikiwaje, seriously sioni cha kukuchanganya, after all bei yake iko chini kuliko ya kwangu, and i just wanted to know, kama ya kwake ni mpya au ni used kwa kuwa kwa bei hiyo ikiwa mpya leave a lot to be desired!!