kitabakilo
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 319
- 567
ata sijui nieleze vp kwa mfno nikiwa natumia inaleta notification kiwa kina APPS 5 zinatumia data secrety au inaleta kuwa kuna apps 6 zinaifanya simu kupata moto sana so nikibonyeza kitufe fulani ina kill prosec ya hiyo notification iliyoleta na kweri simu inapungua moto inapoa so kwa mm ni msaada sana sijui lbda 7bu natumia pro au ni vp ila inanivutiamule mule tu inasave vipi battery?