BARTAZARY BAMECE
New Member
- Aug 20, 2012
- 1
- 0
Mwanamke ndio unampenda tena sna tu then inatokea cku mmegombana tena kitu kdogo then anakwambia muachane alafu baada ya mda anakwambia naomba unisamehe turudiane bt nina mpenzi wangu mwingine pia nampenda bt co kama wewe navokupenda sasa nashindwaga kuelewa apa jamani,ni pepo au nn