Man apex 2pia maishu yote ya muccob 2jiandae vipi? Lakini ume win mkopo?
Achia contact yako au fb name yako kwa mapana zaidi,
facebook INAKUFAA SANA HUJAKAA KI JFMan apex 2pia maishu yote ya muccob 2jiandae vipi? Lakini ume win mkopo?
Achia contact yako au( fb) name yako kwa mapana zaidi,
Vp nimpaka kidaladala man au vipi?na we niwa baaf?
cyo mbali ni kama half km ni mguu 2,maeneo ya shule ya sec marie gorieth,abt prgm ni baaf mkuu nilifika chuo nikakutana na masela wa baaf wakisapua so 2jipange.
300,000 ni kwa mwaka,so unaweza lipa 150,000 bado maisha yanasonga,km vp 2fanye kuchonga private,bt wana muccobs tunawaomba 2julishane kama kuna hostel za karibu zaid ya burreta.
sikushangai watu kama wewe hawakosekani katika jamii,najua hujui nini maana ya public relation[/QUOTE]
Correction, ni ''Relations''