Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,726
- 2,255
Mkuu, kuna mwarabu mmoja maarufu sana Dar kwenye hii biashara ya apartments. Apartments zake ni first class na bei ya "studio" ni kama USD 800 kwa mwezi. Ni nzuri mno. Ambapo ungekuwa Hotelini yenye chumba cha hadhi hiyo ungelipa si chini ya USD 3000 kwa mwezi. Makampuni mengi ya kigeni hasa ya ujenzi sasa hivi ndo wanaweka watu wao huko na si Hotelini tena.
Mkuu si waarabu tu, na wazalendo wengi tu wapo katika hii biashara.
Hii nyumba ipo Mbezi Beach, Jogoo area..
Nyumba inaenda $600 p.m. fully furnished