wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Kwa nini nairobi unapata apartments za kupanga tena nzuri na fully furnished hata kwa monthly basis na chini ya dola 500 wakati Dar hawataki kodi unless iwe ya mwaka na apartment ya kawaida ni kiasi cha dola 2000halafu unatukanwa pia. Ukitaka kulipa kwa mwezi unaweza kuambiwa ulipe dola 1000 zaidi
hivi ni kwa nini? au wenye nyumbawajeuri tuu?
hivi ni kwa nini? au wenye nyumbawajeuri tuu?