jamani mimi prakatatumba nimeingia kwa I.D nyingine baada ya kupigwa ban mpaka 29 October 2013 kwa kosa la kumtukana moderator PAW mara baada ya PAW kuifuta thread iliyotumwa na mmoja wa member humu JF ingawa neno nililoliyumia nilimuita member mwngne humu ndani ila sikupigwa BAN, hayo tuyaache ningependa kumuomba moderator msamaha na kuomba kufutiwa adhabu na vikwazo vyote.