Tendo la ndoa haliongezi uzito wala kuzuia mtu kupunguza uzito...huyo mwalimu, pengine na mwanafunzi wake wana yao. Mimi naenda gym regularly kiasi walimu wengi wa mazoezi wamekuwa washkaji wangu sana. Niliwauliza siku moja kwa nini hawapendi kutrain wanaume, muda wote unakuta wako na wadada tu? Huyo mwalimu akatia mkono mfukoni akatoa manoti kibao ya elfu tano tano na kumi kumi, akaniambia unaona hii...nyie wanaume mkishalipa fees ya gym ndio basi...wadada wanatutoa na mishiko na 'penzi' wanatupa. Akaenda mbali zaidi kiasi cha kunionyesha wadada ambao ameshawala na walioliwa na matrainer wenzake pale gym, walikuwa wengi including wake za watu...Sijui kama alikuwa ananidanganya ili kujipa 'ujiko' lakini nilinote wale wadada alionionyesha kuwa kawala wako extremely close naye na wanamdekea dekea wakati akiwatrain, and the guy (the trainer) is in shape...I mean a goodlooking guy!
So jamaa awe makini sana, isije kuwa analipia kumegewa!