Anyimwa unyumba...... Kisa: mazoezi

Duuu...

Ninachojua, kupiga gemu ni mazoezi tosha kabisa. Unachoma kolestrol + fat nyingi tu!
 
Tendo la ndoa haliongezi uzito wala kuzuia mtu kupunguza uzito...huyo mwalimu, pengine na mwanafunzi wake wana yao. Mimi naenda gym regularly kiasi walimu wengi wa mazoezi wamekuwa washkaji wangu sana. Niliwauliza siku moja kwa nini hawapendi kutrain wanaume, muda wote unakuta wako na wadada tu? Huyo mwalimu akatia mkono mfukoni akatoa manoti kibao ya elfu tano tano na kumi kumi, akaniambia unaona hii...nyie wanaume mkishalipa fees ya gym ndio basi...wadada wanatutoa na mishiko na 'penzi' wanatupa. Akaenda mbali zaidi kiasi cha kunionyesha wadada ambao ameshawala na walioliwa na matrainer wenzake pale gym, walikuwa wengi including wake za watu...Sijui kama alikuwa ananidanganya ili kujipa 'ujiko' lakini nilinote wale wadada alionionyesha kuwa kawala wako extremely close naye na wanamdekea dekea wakati akiwatrain, and the guy (the trainer) is in shape...I mean a goodlooking guy!

So jamaa awe makini sana, isije kuwa analipia kumegewa!


Mhhh! Hii kali Dr! Kumbe kule Gym kuna mambo!!! Nakumbuka kuna Gym moja ambayo nilikuwa nafanya mazoezi wakati zilipoanza kuwa maarufu jijini kuna madada wawili walikuwa wanafanya pale walikuwa ni marafiki wakubwa sana lakini kulikuwa na trainer pale alikuwa anawachanganya wote kama Wapenzi na baadaye wakaja kugundua ulizuka ugomvi mkubwa sana kati yao kila mmoja akidai yule ni jamaa yake. Wakajenga uadui mkubwa sana mpaka kazi zikawa hazifanyiki kama ilivyokuwa inastahili na hatimaye mwenye Gym akaamua kuwafukuza kazi wote wawili.
 
hawa waalimu wa mazoezi huwa na miili ya kuvutia sana wadada, naona jamaa kisha mkoleza mke wa mpwa wako.
 
hahaha ukute hata hajaambiwa na mwalimu wake hivyo...
kamuona mumewe zuzu kaamua ambambikie huo uzushi hahaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom