hahaha home boy bana "Gebaleko ssebo...."Pipooooz,
kwana nawasalim!
Sasa, kama kuna ktu anaishi Jinja naomba ani pm ili tuwetunawaliana tu na kupiga stori pamoja, mtaa naoishi bado sijaushika jina vizuri nitawataarifu.
Naomba kuwasilisha.
D wa 5
hahaha home boy bana "Gebaleko ssebo...."
mbona unajilimit na Jinja we Sema aliyepo na Kampala pia. Usisahau kwenda pale Spot 6 ukawasalimie masela wangu!
Seboo upo?
Poa ntaenda kesho jion, naskia ulipiga chata ukutani, remember Kimei... haha haa (enzi zile) ntazifikisha
Hapo maeneo The Bell Lager na The Club bila kusahau Nile Special zilipata habari yake! Weekend uende Nile Cassino ukacheze za kiganda.Seboo upo?
Poa ntaenda kesho jion, naskia ulipiga chata ukutani, remember Kimei... haha haa (enzi zile) ntazifikisha
Msisahau kutuapdate kuhusu mtakavyokuwa mmekutana!CHIWATULE? nitakutia maguu weekend Dena, ni pm basi namba yako!
We umeenda lini Chiwatule?Mie niko Kampala unaonaje?? tukitembeleana weekend?? Niko sehemu moja inaitwa Chiwatule
CHIWATULE? nitakutia maguu weekend Dena, ni pm basi namba yako!
We umeenda lini Chiwatule?
Msisahau kutuapdate kuhusu mtakavyokuwa mmekutana!
Seboo upo?
Poa ntaenda kesho jion, naskia ulipiga chata ukutani, remember Kimei... haha haa (enzi zile) ntazifikisha
umeona eeh!:smile-big:
hahaha umenikumbusha mbali yaani hilo masaoooo nilikua nasahau kila mara....najikuta nimepitilizwa!!Huku wenzenu daladala zinaitwa Taxi.
Na ukipanda unasema "Stejiaho" Kama unashuka standi na kama ni msaada unasema "Masaooo" So Kimey ukija usisahau hilo
hahaha Kavera muhimu mama kama wayapenda maisha! lolUsisahau mifuko ya plastick maarufu kama rambo TZ huku wanaita "Kavera" Kimey usije nunua kitu ukashindwa kununua mfuko kazi kwako