Tanui hillary
Member
- Jul 16, 2011
- 7
- 0
Am,kenyan nilimaliza kidato cha nne mwaka jana na sina hela za kujiendeleza kwa sasa naomba kama kuna kazi yeyote thafathali napatikana
yes any job so long as inaweza kunizaidia coz sijakamilisha masomo zangu ata kama ni nchii za nche ni zawa coz mie niko kenya na wewe uko wapi?dah! kila la kheri. una any idea ni kazi za aina gani na wapi unataka?
Rudi umaliza shule kwanza. Ushauri wa bure: chagua lugha moja kati ya Kiingereza na Kiswahili. Halafu jifunze na kuijua kwa ufasaha. Kwa ujuzi wako huo wa kuchang'anya lugha mbili ambazo hata hivyo hakuna hata moja unayoimudu siwezi kukupa kazi hata ya kufagia nyumbani kwangu.yes any job so long as inaweza kunizaidia coz sijakamilisha masomo zangu ata kama ni nchii za nche ni zawa coz mie niko kenya na wewe uko wapi?