Antonio Guiterres (67) kutoka nchini Ureno kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Maifa

Alexism

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
3,423
2,045
Antonio Guiterres (67) kutoka nchini Ureno kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Huyu jamaa naona kuwa anafaa sana wakati huu. Ataweza kuifanya UN kurudi kwenye mstari na kuwa visible tena.

Waliokuwa wanabisha kuwa Jakaya Kikwete ndio next UNGS hata baada ya kupewa somo mkabisha sasa nadhani mtakuwa waelewa.

guterresd.jpg


=========================

Anaitwa António Guterres ni raia wa Ureno na alishawahi kuwa Mkuu wa UNHCR amependekezwa na Tume ya usalama ya UN kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anategemewa kuidhinishwa muda siyo mrefu, atamrithi Mkorea Kusini Ban Ki Moon ambaye amemaliza muda wake!!


guterresd.jpg
 
Anaitwa António Guterres ni raia wa Ureno na alishawahi kuwa Mkuu wa UNHCR amependekezwa na Tume ya usalama ya UN kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anategemewa kuidhinishwa muda siyo mrefu, atamrithi Mkorea Kusini Ban Ki Moon ambaye amemaliza muda wake!!


guterresd.jpg
 
Portugal's Guterres set to be UN head

Antonio Guterres led the UNHCR through the major crises in Syria, Iraq and Afghanistan

Portugal's former Prime Minister Antonio Guterres is poised to become the next UN secretary general, UN diplomats say.

Mr Guterres, 67, was the "clear favourite", Russia's UN ambassador Vitaly Churkin announced on Wednesday.

A formal vote will take place in the UN Security Council on Thursday to confirm the choice of nominee.

Mr Guterres, who led the UN refugee agency for 10 years, will take over from Ban Ki-moon early next year.

Who is he?

An engineer by trade, Mr Guterres first entered into politics in 1976 in Portugal's first democratic election after the "Carnation revolution" that ended five decades of dictatorship.

He quickly rose in the ranks, becoming leader of the Socialist party in 1992 and was elected prime minister in 1995.

As head of the UNHCR refugee agency from 2005 to 2015, Mr Guterres led the agency through some of the world's worst refugee crises, including Syria, Afghanistan, Iraq.

During that time, he repeatedly appealed to Western states to do more to help refugees fleeing the conflicts.

Former Portuguese President Anibal Cavaco Silva said earlier this year that Mr Guterres had "left a legacy" at the refugee agency "that means today he is a respected voice and all the world listens to him", according to the AFP news agency.

The UN's new man at the top

How has the world reacted?

Russia's ambassador and current head of the UN Security Council, Vitaly Churkin, said all the candidates had "a lot of wisdom, understanding and concern for the fate of the world," but "we have a clear favourite, and his name is Antonio Guterres".

There was some disappointment among campaigners who had hoped for a first female secretary general, or a candidate from Eastern Europe - which has never held the position.

Security Council members said the decision was uncontroversial, and Mr Guterres was the clear winner

But the process was "remarkably" uncontroversial, said Samantha Power, the US representative to the UN.

"In the end, there was just a candidate whose experience, vision, and versatility across a range of areas proved compelling," she said, adding that the process involved more scrutiny than ever before.

"People united around a person who impressed throughout the process."

The UK's Matthew Rycroft said Mr Guterres "will take the United Nations to the next level in terms of leadership" and be "a moral authority at a time when the world is divided on issues."

UN secretary general: The hardest job in the world?

Who were the other contenders?

Irina Bokova, Helen Clark and Kristalina Georgieva were among the seven unsuccessful female candidates

The UN has never had a woman in the top job. Of the 13 candidates this year, seven were women, including:

• Irina Bokova, 63 - Bulgarian politician and director general of Unesco

• Helen Clark, 66 - former prime minister of New Zealand (1999-2008) and current head of the UN development programme

• Natalia Gherman, 47 - Moldovan politician who was deputy prime minister and minister of European integration from 2013-2016

• Vesna Pusic, 62 - Leader of the liberal Croatian People's Party. Served as a first deputy prime minister and minister of foreign and European affairs until January this year

• Kristalina Georgieva, 63, who was announced just days ago, current European Commissioner for budget and human resources

In the end, the highest-placed woman, Irina Bokova, came fourth.

Serbian candidate Vuk Jeremic, a former president of the UN General Assembly, came second, followed by Slovakia's Miroslav Lajcak.

How is he appointed?

The 15-member Security Council cast secret ballots for each of the 10 candidates on Wednesday and none were found to oppose Mr Guterres.

They were asked to select from a choice of 'encourage', 'discourage' or 'no opinion' for each candidate, with the former Portuguese prime minister receiving 13 'encourage' votes and two 'no opinion' votes.

He beat nine other candidates, including EU budget commissioner Kristalina Georgieva from Bulgaria, to become the next UN chief.

Some had pinned high hopes on a woman being elected UN secretary general for the first time

His nomination came despite a concerted effort to appoint the UN's first female secretary general.

A formal vote will take place at 10:00 EST (15:00 BST) on Thursday to recommend Mr Guterres to the UN General Assembly, which must approve his nomination.

In January 2017, Mr Ban will stand down after 10 years at the helm.

What does a UN secretary general do?

The Security Council - with five of its members wielding vetos - is the most powerful body in the UN.

While not as powerful, the secretary general serves as the organisation's top diplomat and chief "administrative officer".

It has been described as the most impossible job in the world, says the BBC's diplomatic correspondent James Landale.

The secretary general of the United Nations has to run an unwieldy bureaucracy and manage the competing demands of the world's big powers, he adds.

A key requisite of the role is to step in both publicly and privately to prevent international disputes from escalating.

The post lasts for five years but is limited to a maximum of two terms.
 
Guterres ambaye ameliongoza shirika la umoja wa Mataifa linalohusika na wakimbizi wa mwongo mmoja, alipata uungwaji mkono mkubwa toka kwa wajumbe wa baraza la usalama, ambapo nchi 13 kati ya 15 za baraza hilo ziliunga mkono uteuzi wake katika kura ya siri.

Wakati wa mahojiano yake, wajumbe wengi wameonesha kuridhishwa na utendaji wake ambapo hata mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu kama vile Amnesty International na Human Rights Watch yamemuunga mkono.

Hii ina maanisha kuwa Guterres, atakuwa katibu mkuu mpya wa umoja wa Mataifa kuanzia mwezi January mwakani, ambapo hata nchi 5 wanachama wa kudumu na wenye kura ya turufu kwenye baraza la usalama, walipiga kura ya ndio kuunga mkono uteuzi wake.

Aliyetangaza muafaka wa nchi wanachama za baraza la usalama, alikuwa ni balozi wa Urusi kwenye umoja wa Mataifa, Vitaly Churkin ambaye aliambatana na wajumbe wengine 15 wa baraza hilo, na kumtangaza Guterres kama mshindi.

Baraza la usalama Alhamisi ya juma hili linaketi kuidhinisha rasmi jina lake katika kile kilichoelezwa kuwa ni kura ya wazi ambayo wanadiplomasia wengi wanasema ni utaratibu wa kawaida lakini kiujumla mwanadiplomasia huyo wa kimataifa ndiye katibu mkuu mpya.

Tunamtakia ndugu Guterres kazi njema wakati atakapotekeleza majukumu yake mapya kama katibu mkuu wa umoja wa Mataifa katika kipindi cha miaka mitano ijayo:- Balozi Churkin.

Guterres ambaye alikuwa waziri mkuu wa Ureno kati ya mwaka 1995 na 2002, amewahi pia kushika nyadhifa kadhaa za juu, lakini kukubaliwa kwake bila kupingwa na nchi wanachama kumeonekana kuwashangaza wengi.

Atakuwa katibu mkuu wa kwanza wa umoja wa Mataifa ambaye alikuwa kiongozi wa juu kwenye Serikali ya nchi yake, nafasi ambayo mara nyingi ilikuwa inakaliwa na mawaziri wa mambo ya nje.

Kulikuwa na wagombea 10 kwenye mbio hizo za kuwania ukatibu mkuu wa umoja wa Mataifa, akiwemo waziri wa mipango wa umoja wa Ulaya, Kristalina Georgieva kutoka Bulgaria ambaye aliingia kwenye mbio hizo juma lililopita.

Makamu wa rais wa zamani wa benki ya dunia, Georgieva alishindwa kupata uungwaji mkono kutoka kwa nchi 2 wanachama wa kudumu wa baraza la usalama, huku kukiwa na taarifa za ndani kuwa, Urusi ilimpinga.

Mkuu wa shirika la UNESCO Irina Bokova, ambaye alitengwa na Serikali ya Bulgaria akitakiwa kumpisha Georgieva alipata kura mbili hasi kutoka kwa nchi tano zenye kura za turufu.
 
Tanzania kwa sera yake ya kujitenga,tumepoteza mvuto kwenye jumuiya ya kimataifa,waziri wa mambo ya nje japo taarifa zinasema ni mtu mahiri,lakini mpaka sasa naona anashindwa kuivunja rekodi ya membe na hata migiro

sijui bwana mahiga anakwama wapi
 
Tanzania kwa sera yake ya kujitenga,tumepoteza mvuto kwenye jumuiya ya kimataifa,waziri wa mambo ya nje japo taarifa zinasema ni mtu mahiri,lakini mpaka sasa naona anashindwa kuivunja rekodi ya membe na hata migiro

sijui bwana mahiga anakwama wapi
tatizo anabanwa mkuu!! si unajua kwamba tunabana matumizi sasa atasafirije wakati hali IPO hivyo?
 
Guterres ambaye ameliongoza shirika la umoja wa Mataifa linalohusika na wakimbizi wa mwongo mmoja, alipata uungwaji mkono mkubwa toka kwa wajumbe wa baraza la usalama, ambapo nchi 13 kati ya 15 za baraza hilo ziliunga mkono uteuzi wake katika kura ya siri.

Wakati wa mahojiano yake, wajumbe wengi wameonesha kuridhishwa na utendaji wake ambapo hata mashirika ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu kama vile Amnesty International na Human Rights Watch yamemuunga mkono.

Hii ina maanisha kuwa Guterres, atakuwa katibu mkuu mpya wa umoja wa Mataifa kuanzia mwezi January mwakani, ambapo hata nchi 5 wanachama wa kudumu na wenye kura ya turufu kwenye baraza la usalama, walipiga kura ya ndio kuunga mkono uteuzi wake.

Aliyetangaza muafaka wa nchi wanachama za baraza la usalama, alikuwa ni balozi wa Urusi kwenye umoja wa Mataifa, Vitaly Churkin ambaye aliambatana na wajumbe wengine 15 wa baraza hilo, na kumtangaza Guterres kama mshindi.

Baraza la usalama Alhamisi ya juma hili linaketi kuidhinisha rasmi jina lake katika kile kilichoelezwa kuwa ni kura ya wazi ambayo wanadiplomasia wengi wanasema ni utaratibu wa kawaida lakini kiujumla mwanadiplomasia huyo wa kimataifa ndiye katibu mkuu mpya.

Tunamtakia ndugu Guterres kazi njema wakati atakapotekeleza majukumu yake mapya kama katibu mkuu wa umoja wa Mataifa katika kipindi cha miaka mitano ijayo:- Balozi Churkin.

Guterres ambaye alikuwa waziri mkuu wa Ureno kati ya mwaka 1995 na 2002, amewahi pia kushika nyadhifa kadhaa za juu, lakini kukubaliwa kwake bila kupingwa na nchi wanachama kumeonekana kuwashangaza wengi.

Atakuwa katibu mkuu wa kwanza wa umoja wa Mataifa ambaye alikuwa kiongozi wa juu kwenye Serikali ya nchi yake, nafasi ambayo mara nyingi ilikuwa inakaliwa na mawaziri wa mambo ya nje.

Kulikuwa na wagombea 10 kwenye mbio hizo za kuwania ukatibu mkuu wa umoja wa Mataifa, akiwemo waziri wa mipango wa umoja wa Ulaya, Kristalina Georgieva kutoka Bulgaria ambaye aliingia kwenye mbio hizo juma lililopita.

Makamu wa rais wa zamani wa benki ya dunia, Georgieva alishindwa kupata uungwaji mkono kutoka kwa nchi 2 wanachama wa kudumu wa baraza la usalama, huku kukiwa na taarifa za ndani kuwa, Urusi ilimpinga.

Mkuu wa shirika la UNESCO Irina Bokova, ambaye alitengwa na Serikali ya Bulgaria akitakiwa kumpisha Georgieva alipata kura mbili hasi kutoka kwa nchi tano zenye kura za turufu.
Azitupie macho nchi za maziwa makuu kutokana na udikteta wa kishamba , ikiwezekana zitengwe , kasoro Kenya tu .
 
Back
Top Bottom